maneno ya Mheshimiwa Nassari:
"Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), alitaka Wabunge waache kuzungumzia masuala binafsi ya Wabunge ndani ya bunge hilo, kwa kuwa endapo Wabunge wote wakiamua kuzungumzia masuala binafsi ya Wabunge hao, Bungehilo halitokalika.
Kuna mambo mengi yanafanyika huko nje, tukiyaleta huku ndani hapatakalika. Wapo watu wanahusichwa na mambo chungu nzima ya uvunjaji wa maadili. Wako hapa wanahususishwa na uhusiano na watoto wadogo."
Maoni yangu:
Mheshimiwa Nassari anataka mambo yao binafsi yasijadiliwe bungeni hata pale wanapokiuka maadili ya uongozi? Ukiwa kiongozi, basi mambo yako binafsi ambayo yanaenda kinyume na maadili ya uongozi, ni ruhusa kabisa kujadiliwa..
"Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), alitaka Wabunge waache kuzungumzia masuala binafsi ya Wabunge ndani ya bunge hilo, kwa kuwa endapo Wabunge wote wakiamua kuzungumzia masuala binafsi ya Wabunge hao, Bungehilo halitokalika.
Kuna mambo mengi yanafanyika huko nje, tukiyaleta huku ndani hapatakalika. Wapo watu wanahusichwa na mambo chungu nzima ya uvunjaji wa maadili. Wako hapa wanahususishwa na uhusiano na watoto wadogo."
Maoni yangu:
Mheshimiwa Nassari anataka mambo yao binafsi yasijadiliwe bungeni hata pale wanapokiuka maadili ya uongozi? Ukiwa kiongozi, basi mambo yako binafsi ambayo yanaenda kinyume na maadili ya uongozi, ni ruhusa kabisa kujadiliwa..