Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,669
- 40,917
Nadhani aliyepewa jukumu la kusafisha mji hakuelewa vyema mji unaanzia wapi na kuishia wapi.
Yeye alijua Dar nzima kila mahali ni mji.
Kumbe anayekaa mbagala akitaka kwenda posta anasema nakwenda Mjini, wa mbezi naye hivyo hivyo.
Posta ndio Mjini ak.a Centre Business District na ndiko kulikotakiwa kusafishwa na si kwingineko.
Yeye alijua Dar nzima kila mahali ni mji.
Kumbe anayekaa mbagala akitaka kwenda posta anasema nakwenda Mjini, wa mbezi naye hivyo hivyo.
Posta ndio Mjini ak.a Centre Business District na ndiko kulikotakiwa kusafishwa na si kwingineko.