Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Salaam wanaJF!
Katika dunia ya sasa, mawasialiano ni jambo la msingi sana.
Katika masuala ya utawala na uongozi, mawasiliano kati ya viongozi na wanaoongozwa nayo ni muhimu sana.
Sasa, hebu angalia kati ya nchi hizi tatu za Afrika Mashariki, kisha amua mwenyewe nchi ipi inacheza kiduku na zingine zinasonga mbele katika nyanja nzima ya mawasiliano kati ya viongozi na wanaoongozwa!!
Office of Public Communications - Office of Government Spokesperson
Statehouse Uganda
Ikulu Mawasiliano
Asante!!
Katika dunia ya sasa, mawasialiano ni jambo la msingi sana.
Katika masuala ya utawala na uongozi, mawasiliano kati ya viongozi na wanaoongozwa nayo ni muhimu sana.
Sasa, hebu angalia kati ya nchi hizi tatu za Afrika Mashariki, kisha amua mwenyewe nchi ipi inacheza kiduku na zingine zinasonga mbele katika nyanja nzima ya mawasiliano kati ya viongozi na wanaoongozwa!!
Office of Public Communications - Office of Government Spokesperson
Statehouse Uganda
Ikulu Mawasiliano
Asante!!