Nliona kama mama salama anataka kufanya ya Maalim Seif vipi hukuona ileau angefanya Lowasa wangesema ana nguvu za kutosha.
Wewe lofa hapo alikuwa ameshamaliza kukagua gwaride....Naona kuna mnaomsifia alichofanya Rais na kuna mnaomponda. Kwani nini maana ya kukagua gwaride? Rais akiwa amiri jeshi mkuu na akipewa kazi ya kukagua gwaride anatakiwa akague gwaride na si vinginevyo. Alichokifanya Rais ni kupita mbele ya gwaride huku akipiga kwata kana kwamba yeye ndiye anakaguliwa. Tuache masihara kwenye mambo ya muhimu,sifa nyingine zinaiaibisha nchi.
Kila jambo analolifanya mkuu wa nchi ni habari na ni somo!! Nimeshuhudia sherehe za uhuru nyingi na pia sherehe za kitaifa nyingi sana. Na pia rais wetu msataafu alikua mwanajeshi yamkini anajua kupiga kwata kuliko rais wetu magufuli. Lakn alitembea kawaida akikagua gwaride.
Twende kwenye hoja. Kwani kukagua gwaride inatakiwa utembee vipi??
Binafs nimezoea kumwona kiongoz yeyote hata katika nchi tofaut kupita karibu na wanajeshi na kukagua walivosimama kuashiria kukagua ukakamavu wao sasa hapa rais wetu alikua anakagua au apiga kwata??
Kutokana na mantiki ya kukagua umahili wa wanajeshi husika ilipelekea kusoma story za nchi ya ujeruman chini ya dicteta hitra. Kwamba ili kunyosha msitari wa gwaride alinyoosha na risasi japo sijui kama kweli. Ila nikajifunza kitu kimoja kwamba kwenye gwaride kama hilo haitakiwi kuwakuta watu wazembe wazembe na wenye matumbo aka vitambi.sasa rais wetu upande huu kuna mlinzi wake upande huu kuna mkuu wa majeshi yeye yuko kati na kainua kichwa juu pasipo kutizama anaowakagua akipiga gwaride balaa!! Ni kama waliopemben yake ndio ilitakiwa wakague japo wao hawakufanya hivyo maana si kaz yao. Alikua anakagua au anafundisha??
Tunajifunza nini kwa alivyofanya rais wetu ?? Kuna haja ya wanajeshi kujipanga na kukaguliwa??
Binafsi sijamwelewa naomba kueleweshwa.
Angalia video mwenyewe
AaaaaaahCha ajabu sasa Wazungu wenyewe wala hawamind vitu peanuts kama hivyo ni ninyi nigga tu ndiyo mnafanya maisha yawe magumu. Ila hata sababu ...
Sasa kukagua gwaride inahitaji u-serious wa kiasi gani? Hizo ni formalities tu, Rais nae ni binadamu kama wewe na mimi.Kuna vitu huwa havitakiwi kufanyiwa mzaha ...................!!