Hapa Pinda alikuwa akipokea fedha za nini!??

data

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
26,031
22,556
Screenshot_20170619-075235.png
picha hii imetawala magazeti mengi leo hii..
 
Nimeizoom bila mafanikio ...sikuweza soma maelezo yake.
 
Alikua anapokea mchango wa shilling million 10 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim M.Majaliwa pamoja na Mkewake Mama Mary Majaliwa kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia mpya ya Zuzu nje kidogo ya Mji wa Dodoma.
 
Alikua anapokea mchango wa shilling million 10 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim M.Majaliwa pamoja na Mkewake Mama Mary Majaliwa kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia mpya ya Zuzu nje kidogo ya Mji wa Dodoma.
Una uhakika mkuu?
 
Alikua anapokea mchango wa shilling million 10 kutoka kwa Waziri Mkuu Kassim M.Majaliwa pamoja na Mkewake Mama Mary Majaliwa kwenye Harambee ya kuchangia ujenzi wa Parokia mpya ya Zuzu nje kidogo ya Mji wa Dodoma.
Kweli mkuu hapo nmemtambua fr Chesco mkurugenzi wa Radio mwangaza Dodoma,mkuu wa shirika mt Gaspar na Vicar general wa Dodoma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom