baraka bb
JF-Expert Member
- Mar 20, 2016
- 2,691
- 3,858
Habari zenu wakuu,
Computer yangu aina ya HP EliteBook, ghafla tu nikiwa naitumia ikaanza kuonyesha maandishi mara mbili mbili yaani kama simu vile ikiwa imekifa kioo.
Sasa nashangaa hili tatzo linatokana na nini maana kama kioo kimekufa mbona sijaigonga wala kuidondosha. Kuna mtu nimemuuliza ameniambia kioo kimekufa nibadilishe mwingine kaniambia ni window imeisha.
Naombeni msaada itakuwa tatzo nini kabla sijaenda kubamizwa na fundi.
Computer yangu aina ya HP EliteBook, ghafla tu nikiwa naitumia ikaanza kuonyesha maandishi mara mbili mbili yaani kama simu vile ikiwa imekifa kioo.
Sasa nashangaa hili tatzo linatokana na nini maana kama kioo kimekufa mbona sijaigonga wala kuidondosha. Kuna mtu nimemuuliza ameniambia kioo kimekufa nibadilishe mwingine kaniambia ni window imeisha.
Naombeni msaada itakuwa tatzo nini kabla sijaenda kubamizwa na fundi.