touch the sky
Senior Member
- Aug 25, 2020
- 132
- 59
Mchoro huoIla hilo basi la dar express sijui kama tz kuna mazingira hayo hasa hiyo miti
Mchoro huoIla hilo basi la dar express sijui kama tz kuna mazingira hayo hasa hiyo miti
Picha ya juu ni Sumbawanga, stand ya jangwani. Basi la kijani ni basi la Said Ali&sons, basi jeupe ni Lake transport la Bw. Rocky😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲
Specifically ni mkoa gani kiongozi
Unaulizia zile Lada km walizokuwa nazo. Co cabs ?Alafu kulikuwepo na gari fulani za kirusi
Jina limenitoka kidogo,zilikuwa ngumu sana
Ova
Magari zamani zilikuwa Peugeot, Renault,Ford,volxwagen, Land rover yaani make za ulaya tu zamani used car hakuna bongo
johnthebaptist
Leyland, Bedford,opel
Ile ya kutombesha au?Hizo zoote zipo ila Renault zimepotea kabisa hapa bongo.......Renault zilikuwa zinanifurahisha ile gear level yake ilikuwa ya kipekee sana
Ni iringa hapo sio arushaPicha ya juu stendi ya zamani ya arusha hiyo ya chini dar ex press ya kutoka dar kwenda nairobi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni iringa hadi leo ukienda pana mazingira ya hivyohivyopicha ya kwanza ni stand kati ya Zimbabwe au Africa ya kusaini
picha ya pili ni 3d animation hasa hasa kwenye magame
Acha bange wewe!!!!@Picha ya juu ni Sumbawanga, stand ya jangwani. Basi la kijani ni basi la Said Ali&sons, basi jeupe ni Lake transport la Bw. Rocky😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲
Hapo ni mwaka 1986, kwa mbaaaali linaonekana kanisa la Kristo mfalme. Kanisa hilo liko karibu na Nelson Mandela Stadium