Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
Habari Kamarada,
Hivi hawa TFF wanatumia vigezo gani kuzuia AZAM FC kutotumia uwanja wake wa nyumbani pindi inapocheza mechi za ligi na SIMBA/YANGA, na kuruhusu TIMU YA TAIFA kutumia uwanja huo kwa mechi za kimataifa? Ina maana SIMBA/YANGA ni timu kubwa kuliko timu ya taifa??
Hivi hawa TFF wanatumia vigezo gani kuzuia AZAM FC kutotumia uwanja wake wa nyumbani pindi inapocheza mechi za ligi na SIMBA/YANGA, na kuruhusu TIMU YA TAIFA kutumia uwanja huo kwa mechi za kimataifa? Ina maana SIMBA/YANGA ni timu kubwa kuliko timu ya taifa??