Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,347
- 11,446
Salma Kikwete akiwa katika harakati za kuigiza ili apewe "Kula" ni kwa nini wanasiasa wa Africa au Tanzania wanatuona sisi ni mafala sana? Wehu? Ni mambo haya kweli yanayotufanya tuwachague hawa wawe viongozi wetu?