Hapa napingana na mkuu wa kaya, hakujipanga kuifanya elimu bure

cantonna

JF-Expert Member
Mar 11, 2013
1,120
439
Kiukweli nikiwa mdau wa Elimu pamoja na Michezo sijapendezewa na kuzuia michezo ya Umiseta pamoja na Umitashumta kwa kigezo pesa zake ambazo ni kama 1.5 billion kuzipeleka ktk kununua madawati kwa ajili ya kukalia wanafunzi mashuleni.Yupo sawa lakini si sahihi kwa kuzingatia umuhimu wa michezo kwa wanafunzi mashuleni!!

1)Simuungi mkono kwa hili kwa sababu, linapelekea kuua vipaji vya vijana wetu kwa kuwanyima haki ya kuonyesha vipaji vyao katika michuano mikubwa!!

2)Nasema hakujipanga kufanya Elimu bule sababu namuona namna anavyohangaika kusolve issue ndogo tu ya madawati mashuleni je, vitabu mashuleni bado!!!

3)Elimu bure ilihitaji mchakato wa muda mrefu kuuanzisha, ndo maana tunaona kwa namna anavyohaha!!

4)Je kubomoa sehemu moja na kuziba sehemu nyingine ni sahihi.... Unaua michezo mashuleni kisa madawati..... Hii kwakweli inatikea Tz pekee!!

5)Unaweza ona michezo mashuleni haina umuhimu kwa akili fupi, lakini kwa mwenye akili kubwa anaujua umuhimu wa michezo mashuleni!!

Victar Wanyama ambae naye pia ni product ya umiseta ya kenya leo hii analipwa million 34 za Kenya ambazo ni sawa na million 744 za kitanzania, so huyu mchezaji ana uwezo wa kumaliza tatizo la madawati Tanzania ndani ya mishahara miwili tuu!! Sasa sisi mkuu wa kaya anaminya mianya ya kuzalisha wa kina Wanyama wa Tanzania duu!!!

Ni lazima tulikemee hili, kama Elimu bure imemshinda arudishe tuu mfumo wa kuchangia kama zamani na siyo kubomoa sehemu moja na kujenga sehemu nyingine!!

NI MTIZAMO TUU SO MSIJENGE CHUKI!!!
 
1466766496129.jpg
 
1. Miaka yote mna umitashumta na umiseta mmefanya nini kwenye michezo? Nitajie ambacho hao wenye kipaji wamelifanyia Taifa. kama si wao tu kuwa wanakula pesa kwa kisingizo cha michezo.



Kiukweli nikiwa mdau wa Elimu pamoja na Michezo sijapendezewa na kuzuia michezo ya Umiseta pamoja na Umitashumta kwa kigezo pesa zake ambazo ni kama 1.5 billion kuzipeleka ktk kununua madawati kwa ajili ya kukalia wanafunzi mashuleni..... Yupo sawa lakini si sahihi kwa kuzingatia umuhimu wa michezo kwa wanafunzi mashuleni!!
1)Simuungi mkono kwa hili kwa sababu, linapelekea kuua vipaji vya vijana wetu kwa kuwanyima haki ya kuonyesha vipaji vyao katika michuano mikubwa!!

2)Nasema hakujipanga kufanya Elimu bule sababu namuona namna anavyohangaika kusolve issue ndogo tu ya madawati mashuleni je, vitabu mashuleni bado!!!

3)Elimu bure ilihitaji mchakato wa muda mrefu kuuanzisha, ndo maana tunaona kwa namna anavyohaha!!

4)Je kubomoa sehemu moja na kuziba sehemu nyingine ni sahihi.... Unaua michezo mashuleni kisa madawati..... Hii kwakweli inatikea Tz pekee!!

5)Unaweza ona michezo mashuleni haina umuhimu kwa akili fupi, lakini kwa mwenye akili kubwa anaujua umuhimu wa michezo mashuleni!!

Victar Wanyama ambae naye pia ni product ya umiseta ya kenya leo hii analipwa million 34 za Kenya ambazo ni sawa na million 744 za kitanzania, so huyu mchezaji ana uwezo wa kumaliza tatizo la madawati Tanzania ndani ya mishahara miwili tuu!! Sasa sisi mkuu wa kaya anaminya mianya ya kuzalisha wa kina Wanyama wa Tanzania duu!!!

Ni lazima tulikemee hili, kama Elimu bure imemshinda arudishe tuu mfumo wa kuchangia kama zamani na siyo kubomoa sehemu moja na kujenga sehemu nyingine!!

NI MTIZAMO TUU SO MSIJENGE CHUKI!!!
 
Kiukweli ni aibu harambee kila siku za madawati.....hapo bado vitabu na vitendea kazi vingine!!! Je kweli hii ni bora Elimu!!
 
Elimu bure ilifanywa kisiasa hii kitu.hata lowassa nilimpinga sera kama hii hatuiwezi sisi
 
nakushuru Ndugu yangu wewe una akili ndefu. si unajua hata vidole havilingani. lakini kidole cha shahada hakiwezi hata siku moja kudhani ni bora kuliko kidole Gumba ambacho ni kifupi. ila umuhimu wake ni mkubw kuliko kidole cha shahada. huwezi andika kama huna kidole gumba. ubarikiwe wewe mwenye akili ndefu. na sisi wenye fupi tunamshukuru Mungu kwa sabab alikuwa na makusudi kutofautisha vitu,watu na mambo.
Michezo inakuzwa mashuleni, vipaji vinalelewa mashuleni, badala ya kuongeza pesa kubwa na usimamizi mkubwa katika michezo mashuleni ww unasupport kuondolewa kwa pesa yote kwenye michezo iyo ni akili au matope!!!
 
Elimu bure ilifanywa kisiasa hii kitu.hata lowassa nilimpinga sera kama hii hatuiwezi sisi
Kwa Tanzania hii kiukweli ilikuwa bado sana kiukweli..... Sasa mwaka wa kwanza tuu madawati yanatushinda kweli tutafika??
 
Tatizo la kwanza ni jamaa kuitwa mtakatifu. Napnga sana hii kauli ya MTU kuitwa mtakatifu maana ina madhara makubwa sana. Madhara yake ni MTU kujihic anajua kila kitu na hakuosei maana kuitwa mtakatifu lazima uwe huna mapungufu

Na Ukihic unajua kila kitu hilo nalo nitatizo.
 
Soma jina lake ha
Michezo inakuzwa mashuleni, vipaji vinalelewa mashuleni, badala ya kuongeza pesa kubwa na usimamizi mkubwa katika michezo mashuleni ww unasupport kuondolewa kwa pesa yote kwenye michezo iyo ni akili au matope!!!
Soma jina lake halafu tafuta maana yake
 
Hivi mkuu hamna hata motisha watafanikiwa vipi. Hata kuwapa viatu nk ni shida. Yataka moyo. Wenzetu wanawajali wachezaji wao. Sisi kila mtu anajiangalia kivyake. Hata huyo waziri husika sijui km anaelewa umuhimu wa michezo na sio movie tu.
 
ndugu yangu huyo ndo hoja alizo nazo. post ya kwanza amecopy akaja akapost huku. akiwa criticized anakosa hoja ya maana anaingia kwenye hoja za matusi ambazo huko yeye ni expert. mimi wazaz wangu walinilea kwanzia mwanzo mpaka mwisho nimekua. walinikataza matusi wakanambia nishindane na mtu kwa hoja na si vioja. so kwa yeye ku opt matusi na dhihaka wala siwezi mlaumu. nitamwombea tu ili awe kama binadamu wengine .


Acha matusi Mkuu jenga hoja
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom