Hapa nani mjanja zaidi???

Mtamile

JF-Expert Member
Aug 2, 2011
2,838
1,267
NANI MJANJA? BABA 1 Mlevi Nyumba yake ina shimo kubwa uani lenye maji Machafu ila halina mfuniko. Siku moja BABA karudi saa 8 usiku toka Ulevini mambo yakawa hivi;
BABA: Funguaa!!
MKE: Leo sifungui, Nimechoshwa na tabia yako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisaa.
MKE. Kufa tu huna faida duniani!.
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo pwaaa!!
MKE kusikia akajifunga kanga fasta akafungua mlango.
Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga sana 2 wakija uwambie unatoka wapi usiku huu tena na kanga moja!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom