Sio kama siku za mwanzo za mwezi huu wa hekaheka za uchaguzi njano na kijani utafikiri msimu wa maua, ila hivi sasa wanaovaa njano na kijani hapa mtaani wamekuwa adimu sana.
Wengi niliokuwa nawafahamu wamebadilika kimawazo na fikra zao sasa zinaona mbali,wamegundua shida na dhiki za maisha sababu ni kuitukuza CCM na kuwapigia makofi wenyeviti na meza.
Wameanza kuwa huru kifikra mambo ya kupewa fulana na suruali za kijani na njano na kikofia cha kijani wanasema wale wakinunua utu wetu kwa vipande vya vitambaa tu.Kumbe huwa wameficha ubaya wao.
Jamani kukataliwa kubaya CCM sasa inakataliwa kila sehemu ya Tanzania hii,wakubwa,vijana wazee na watoto wanaikwepa CCM ,CCM msiwe wabishi kubalini hii hali inayotokea. Ni mabadiliko ya tabia nchi lazima myakubali.
Wengi niliokuwa nawafahamu wamebadilika kimawazo na fikra zao sasa zinaona mbali,wamegundua shida na dhiki za maisha sababu ni kuitukuza CCM na kuwapigia makofi wenyeviti na meza.
Wameanza kuwa huru kifikra mambo ya kupewa fulana na suruali za kijani na njano na kikofia cha kijani wanasema wale wakinunua utu wetu kwa vipande vya vitambaa tu.Kumbe huwa wameficha ubaya wao.
Jamani kukataliwa kubaya CCM sasa inakataliwa kila sehemu ya Tanzania hii,wakubwa,vijana wazee na watoto wanaikwepa CCM ,CCM msiwe wabishi kubalini hii hali inayotokea. Ni mabadiliko ya tabia nchi lazima myakubali.