The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,381
- 2,553
Sekta ya elimu ndio in awatumishi wa uma wenye elimu ya juu kabisa. Kwa mfano kwa shule za sekondari mwalimu mwenye elimu ya chini kabisa ni diploma. Wapo walimu wana Masters na PhD . Lakini cha kushangaza mtendaji wa kata mwenye elimu ya cheti kutoka Hombolo ana mamlaka na hadhi kuliko hawa wasomi waliobobea kwenye masomo yao kama Physics, Mathematics , Biology,Chemistry na n.k .
Kwa macho yangu nikiwa kwenye kikao cha wazazi katika shule moja ya Sekondari. Nilimuona mtendaji wa kata husika akiwachimba mkwara walimu na kuwaambia kuwa yeye ni boss wao kwenye hiyo kata.
Kwa macho yangu nikiwa kwenye kikao cha wazazi katika shule moja ya Sekondari. Nilimuona mtendaji wa kata husika akiwachimba mkwara walimu na kuwaambia kuwa yeye ni boss wao kwenye hiyo kata.