G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,544
- 8,394
Tutambue ya kwamba CAG ni binadamu, kama alivyo mtu mwingine ndivyo ilivyo kwa CAG kwamba yamkini ni mtu wa mlengo wa kushoto na yupo kwa sababu ya kundi fulani lenye mlengo huo.
Si ajabu akafuata ya kundi hilo la mlengo wake.
Sina kumbukumbu vizuri ya nchi husika lakini ipo nchi hapa Afrika ilipata machafuko ya maandamano na jeshi kumtaka kiongozi wa nchi aondoke mamlakani, mwisho wa siku yule kiongozi alitoroka kwa kutumia magari kwenda nchi jirani, kesho yake nchi ikatangaza kiongozi yule aliondoka na bilion nyingi za fedha.
Ukweli ni kwamba siyo aliondoka na pesa kabeba isipokua machafuko yale na kuondoka kwake kuliwapa watu wabaya mwanya wa kuchota pesa nyingi kwa kisingizio cha kutoroka kwa kiongozi yule.
Mwendazake alifanya makubwa sana na wananchi wasio na sauti mitandaoni wanajua. Hapa kuna kundi dogo lenye nia ovu linalotaka kufanya yake kwa sababu mwendazake hatarudi.
Si ajabu akafuata ya kundi hilo la mlengo wake.
Sina kumbukumbu vizuri ya nchi husika lakini ipo nchi hapa Afrika ilipata machafuko ya maandamano na jeshi kumtaka kiongozi wa nchi aondoke mamlakani, mwisho wa siku yule kiongozi alitoroka kwa kutumia magari kwenda nchi jirani, kesho yake nchi ikatangaza kiongozi yule aliondoka na bilion nyingi za fedha.
Ukweli ni kwamba siyo aliondoka na pesa kabeba isipokua machafuko yale na kuondoka kwake kuliwapa watu wabaya mwanya wa kuchota pesa nyingi kwa kisingizio cha kutoroka kwa kiongozi yule.
Mwendazake alifanya makubwa sana na wananchi wasio na sauti mitandaoni wanajua. Hapa kuna kundi dogo lenye nia ovu linalotaka kufanya yake kwa sababu mwendazake hatarudi.