Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba leo ameonyesha kweli yeye ni Yanga damu baada ya kuibuka ghafla kwenye mazoezi ya timu hiyo inayojiandaa kuivaa Medeama ya Ghana katika mechi ya Kombe la Shirikisho.
Mwigulu aliibuka katika mazoezi ya Yanga yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani na kuwashangaza mashabiki waliokuwa hapo baada ya kuungana nao na kukaa chini kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.