Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,855
- 4,893
Ha hahaha hapa tu umeshanichekesha kweli mashetani washindwe...Aisee mie hiyo ya kucheka mwenyewe hunitokea sana tu. Kuna watu wanajua sana kucheza na maneno humu yaani ukisoma unabaki na kicheko cha hali ya juu. JF ni burudani tosha halafu kwenye idara ya habari hapa ni mwisho. Huwezi amini saa nyingine nikisikia kitu kimetokea ndani au hata nje ya nchi sehemu ya kwanza kukimbilia ni hapa JF na si mahali pengine popote pale, na mara nyingi JF huwa hainiangushi. Idumu JF na mashetani na dhana yao washindwe kabisa.
Tuko sawa katika hilo nikisikia tetesi huwa nawahi kufungua JF nione kuna nini... Mungu awabariki waanzilishi.