Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 297
Picha kwa hisani ya Haki-hakingowi.blogspot.com
Hapa Kipanya kachemsha.
Huyo mgonjwa labda angeitwa UFISADI TZ na sio tu TANZANIA. Ukimkata kichwa TANZANIA haiwezi kuwa ndio tiba si atakufa?