DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,883
- 45,248
Nipo shule x Hapa dsm nasikitika kusema Kuna zaidi ya watoto wa kike 100 lazima wapate zero maana naandika Hapa hawa Ni watoto hawajui hata kuandika majina yao kwa ufasaha.
Sasa hawa watoto wa kike wengi wanatoka uswahilini je baada Kupata zero wanaenda kufanya shughuli gani au kuolewa na !!!!
Afisa Elimu wa dsm ebu Fanya Kazi yako acha siasa uchwara.
Sasa hawa watoto wa kike wengi wanatoka uswahilini je baada Kupata zero wanaenda kufanya shughuli gani au kuolewa na !!!!
Afisa Elimu wa dsm ebu Fanya Kazi yako acha siasa uchwara.