The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kiukweli nimechoka kununua hivi viatu vya Kariakoo unanunua leo wiki ijayo kimeachia pembene unapeleka kwa fundi huku kiatu umenunua 100k+.
Naomba kujua maduka ambayo yanauza viatu original, kiatu ambacho nikinunua hata kama ni 400k lakini kinadumu kwa muda flani angalau miezi sita na kuendelea.
Nimewahi kununua European shoes kwenye mtumba kinondoni kwa 200k, kiatu kilikua bomba balaa na nilikaa nacho zaidi ya miaka 2. Sema yele mwenye lile duka alifirisika.
Natanguliza shukran.
Naomba kujua maduka ambayo yanauza viatu original, kiatu ambacho nikinunua hata kama ni 400k lakini kinadumu kwa muda flani angalau miezi sita na kuendelea.
Nimewahi kununua European shoes kwenye mtumba kinondoni kwa 200k, kiatu kilikua bomba balaa na nilikaa nacho zaidi ya miaka 2. Sema yele mwenye lile duka alifirisika.
Natanguliza shukran.