Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,559
- 47,002
Nyumba haikaliki kutakua na majini , ukisema mke mwanaume usishindwe kujenga amani kwako ni udhaifuHalafu unakuta wenye majengo hayo hawakai nyumbani. Jioni utamkuta baa yuko kwenye viti vya plastiki anapiga stori na bamedi, nyumbani kaacha sofa nzuri tu