Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Halafu unakuta wenye majengo hayo hawakai nyumbani. Jioni utamkuta baa yuko kwenye viti vya plastiki anapiga stori na bamedi, nyumbani kaacha sofa nzuri tu
Nyumba haikaliki kutakua na majini , ukisema mke mwanaume usishindwe kujenga amani kwako ni udhaifu
 
Vijana wanataka wanawake wazuri wakati ni wavivu hawatafuti mali

Huo ndio ujinga

Halafu wakimpata huyo mzuri kama zali wanashindwa kumtunza hadi siku akirudi kwao wazazi wanamsahau

Kuna mmoja kamchakaza binti wa watu hadi huruma..... sio kwa chakula wala kwa mavazi! Binti kazeeka ndani ya mwaka mmoja tuu.

Nikamuuliza mume, hivi wewe ungemkuta huyu binti kwa wazazi wake akiwa na muonekano huu alionao sasa ungemuoa!?
 
Kuna Mzee mmoja alikuwa anafanya kazi serikalini. Alikuwa mtu mkubwa kicheo.

Akawa kapandishwa cheo kikubwa kabisa kazini kwake.

Akapewa nyumba nzuri sana Oysterbay.

Karibu kabisa na ubalozi wa Marekani.

Watoto wake wakafurahi sana. Wakaona wanaenda kuhamia Oysterbay, tena karibu kabisa na Ubalozi wa Marekani.

Lakini, yule Mzee hakuwa mtu wa kupenda makuu.

Alisema anapapenda pale alipokuwa anaishi, maana pana sehemu kubwa, tena amezoeana sana na majirani. Wanaishi vizuri.

Zaidi, hakuona sababu za kuhamahama nyumba za serikali kwani alikuwa anakaribia kustaafu.

Watoto wake wakakasirika sana.

Wakasema Baba unaacha nafasi ya kuhamia Oysterbay, tena mtaa wa Laibon ukae jirani na rais Mwinyi na ubalozi wa Marekani?

Baba yao akasema ameshaamua.

Basi muda kidogo tu, ubalozi wa Marekani ukapigwa bomu. Ile nyumba ikapasukapasuka vibaya sana kwa sababu ilikuwa karibu sana na ubalozi wa Marekani.

Kama yule Mzee angehamia pale, familia yake ingeweza kuumia vibaya sana.

Watoto wale wakamuona yule mzee kama alikuwa na uwezo wa kuona yajayo.

Unaweza kutamani kitu kizuri, ukasononeka kukikosa.

Kumbe, usalama wako unakuja unapokikosa hicho kitu.

Ukikipata unapata balaa.
Dzain kama kweli hv
 
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Money can buy a house but not a home. Ni kosa kabisa kusema kuna watu wana furaha kwa kutumia kigezo cha gharama ya nyumba anayoishi
 
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Ganya KAZI kwa BIDII SANA

Sent from my Moto E (4) using JamiiForums mobile app
 
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo anaoish mtoto wa Bakhresa kwa kweli nimesikitika sana hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya kweli haya maisha hayako fear wengine tunaish tu duniani ila kuna viumbe wengine wanaenjoy life imebidi kuingia hapa simply fresh kupata hata ka kinywaji kidogo.

PESA INAUMUHIMU MKUBWA SANA KATIKA MAISHA YETU TUTAFUTE PESA JAPO AJIRA NI KIKWAZO SANA
Aisee, usije kujiua
 
Nikiwa zangu nakimbia jogging nikifika kwenye huu mjengo huwa nautazama sn..kijichi kuna watu Wana hela banaView attachment 1815319
Kuna ilen
Njia inatokea chekechea inapita kota za nssf ziile ghorofa.

Kuna watu wanapesa na nakiri kuwa sijawah ona sehemu smart dar es salaam hii kama kuule aisee.

Road safi,mataa, mijengo, utulivu... Nyumba classic..... Kuna jamaa kajenga mnara wa tank za maji km ghorofa ya kukaa watu mamamamae jau saana
 
Kuna ilen
Njia inatokea chekechea inapita kota za nssf ziile ghorofa.

Kuna watu wanapesa na nakiri kuwa sijawah ona sehemu smart dar es salaam hii kama kuule aisee.

Road safi,mataa, mijengo, utulivu... Nyumba classic..... Kuna jamaa kajenga mnara wa tank za maji km ghorofa ya kukaa watu mamamamae jau saana
Mitaa ya ghorofa za nssf nakumbuka ndy mitaa ambayo ROSTAM ft Nay wa mitego walifanya video Yao

Ni moja Kati ya barabara Bora kabisa Dar es salaam..pale ukiwa na gari unaendesha hata speed 180/hr bila tatizo..kule ni ushuani sn mkuu,kuna jamaa mitaa ya miande anauza kiwanja milioni 200 !!!
 
Mitaa ya ghorofa za nssf nakumbuka ndy mitaa ambayo ROSTAM ft Nay wa mitego walifanya video Yao

Ni moja Kati ya barabara Bora kabisa Dar es salaam..pale ukiwa na gari unaendesha hata speed 180/hr bila tatizo..kule ni ushuani sn mkuu,kuna jamaa mitaa ya miande anauza kiwanja milioni 200 !!!
Yah nilishawah kuuliza sehemu nikakuta 50 kwa 100 milioni 250.... Niliishiwa pozi.

Kule ni msala aiseee kuna bar inautwa kingazi. Nouma.

Na sipati picha zile nyumba zikianza kutumika za nssf
 
Kuna ilen
Njia inatokea chekechea inapita kota za nssf ziile ghorofa.

Kuna watu wanapesa na nakiri kuwa sijawah ona sehemu smart dar es salaam hii kama kuule aisee.

Road safi,mataa, mijengo, utulivu... Nyumba classic..... Kuna jamaa kajenga mnara wa tank za maji km ghorofa ya kukaa watu mamamamae jau saana
Duh Ile sehemu ni nzuri sana.
 
Back
Top Bottom