Hapa bongo kuna watu wanaishi kama Ulaya

Amini usiamini kuna watu kibao huku, hususan Wamarekani weusi, wanaondoka kimoja kuja kuhamia Bongo.

The grass is always greener on the other side.

Mcheki huyu Mnyamwezi anaifagilia sana Bongo huko Youtube https://www.youtube.com/channel/UCOhiR-6Y-MZtMERKRENrcRw

Nakumbuka tulikuwa tunakaa hiyo Oysterbay unayoisifia kuwa ushuani, basi kuna Bibi mzaa Baba alikuja kutoka Mwanza, kwa matibabu.

Sasa Bibi mwenyewe kashazoea maisha ya Mwanza kukaa na ndugu zake muda wote, ana nyumba yake, ingawa si Oysterbay lakini kwake.

Basi wee, kafika Oysterbay watu wote wanaondoka asubuhi kwenda makazini na mashuleni, kabaki mwenyewe na mfanyakazi na TV.

Bibi si akawa anasema anataka kurudishwa Mwanza. Hajazoea maisha yale ya Oysterbay yanamkinaisha, anamiss company yake Mwanza.Tukamwambia mbona una ratiba ndefu sana za matibabu bado bibi?

Ikawa anang'ang'ania kurudi Mwanza, mkimuachia peke yake anatoka getini anaanza kutembea anaanza kuuliza watu njia ya kwenda Mwanza wapi!

Wakati huo, huko Mwanza kuna vijana kibao hawajawahi kufika Dar wanatamani sana wangepata nafasi kufika Dar japo kwa wiki tu wasafishe macho.

Ni hulka ya watu tu.

The grass is always greener on the other side, mimi niliamua kujua nataka wapi nikajikita ninakotaka kimoja.
Mkuu hivi Una malengo ya kurudi bongo siku moja au umeshaamua kuwa mtu wa huko mbele mazima
 
Amini usiamini kuna watu kibao huku, hususan Wamarekani weusi, wanaondoka kimoja kuja kuhamia Bongo.

The grass is always greener on the other side.

Mcheki huyu Mnyamwezi anaifagilia sana Bongo huko Youtube https://www.youtube.com/channel/UCOhiR-6Y-MZtMERKRENrcRw

Nakumbuka tulikuwa tunakaa hiyo Oysterbay unayoisifia kuwa ushuani, basi kuna Bibi mzaa Baba alikuja kutoka Mwanza, kwa matibabu.

Sasa Bibi mwenyewe kashazoea maisha ya Mwanza kukaa na ndugu zake muda wote, ana nyumba yake, ingawa si Oysterbay lakini kwake.

Basi wee, kafika Oysterbay watu wote wanaondoka asubuhi kwenda makazini na mashuleni, kabaki mwenyewe na mfanyakazi na TV.

Bibi si akawa anasema anataka kurudishwa Mwanza. Hajazoea maisha yale ya Oysterbay yanamkinaisha, anamiss company yake Mwanza.Tukamwambia mbona una ratiba ndefu sana za matibabu bado bibi?

Ikawa anang'ang'ania kurudi Mwanza, mkimuachia peke yake anatoka getini anaanza kutembea anaanza kuuliza watu njia ya kwenda Mwanza wapi!

Wakati huo, huko Mwanza kuna vijana kibao hawajawahi kufika Dar wanatamani sana wangepata nafasi kufika Dar japo kwa wiki tu wasafishe macho.

Ni hulka ya watu tu.

The grass is always greener on the other side, mimi niliamua kujua nataka wapi nikajikita ninakotaka kimoja.
Hivi mkuu hawa jamaa hiki wanachokifanya kuja kuishi bongi ni kweli au bla bla za mitandaoni tu,maana siku hizi huko u tube kuna harakati kibao sn tunaziona za hawa blacks kuitaja bongo Kama sehemu nzuri ya kuishi na wengine kudiriki Kusema wanakuja kuhamia bongo mazima
 
Mazima mkuu, Bongo nitakuja kutembea tu.

Sababu zilizonifanya niondoke hazijabadilika na wala sitegemei zibadilike katika muda wa maisha yangu uliobakia.
Nakukubali..sitaki nizijue hizo sababu,Ila ninachojua wewe ni Mzee wa misimamo

Poa mkuu Sisi wacha tuendeleze gurudumu kuisogeza nchi mbele,Ila mlioko mbele msisite kuwekeza home ili na Sisi wengine tupate ajira mkuu
 
Huyo Bakhressa aliitoa hapo hapo Bongo hata US kama kufika kafika baada ya ubilionea.

Very humble man.

Maisha popote kaka.

Tena Bongo inawezekana ndiyo kukawa na uwanja mpana wa kupiga mingo vizuri hakuna wajanja wengi, huku kuna wajanja wa kila kona ya dunia wamejazana.

Kuitoa ile kimasomaso lazima upige hesabu za ziada.

Sawa kaka nmekuelewa vzr san
 
Yani kuna mzee mmoja najuana naye yupo serikalini daaa!huo mjengo alionao ni kufuruuu.Nimemwomba anisaidie anitafutie kijikazi angalau kizuri yupo kimya tu daaah

Kaka usitegeme tajiri kukutafutia kaz zaid ya kupigwa kalenda km mm nilivyopigwaga kalenda na bosi flan hv wa taifa gase tena jiran yangu haswa niliishia kuambiwa nasafir kidg kwend US after one week or two mpk nikakata tamaa nae
 
OysterBay ya sasa si ile ya zamani Mkuu imeharibika sana. Nilipita mitaa hiyo hivi karibuni nilipigwa na mshangao wa hali ya juu. Miaka mingine 10 basi kunaweza kuwa Uswazi kabisa.
Duuh Kweli kabisa
Tulikuwa tunakaa Haile Sellasie road kabla ya IST, miaka 30 iliyopita , kulikuwa Oysterbay kweli
Nilivyopita 2018, mtaa mzima umejaa vigrocery na vipub kama uswahilini, halafu barabara zimechoka kinoma,
 
Back
Top Bottom