Karibuni. Kwetu kimya kabisa hatutaki shida.Kuanzia kijichi mpaka njia panda ya neluka shuka mpaka baharini daah ni next level kule
Siyo kweli. Kijichi viwanja vya kujenga ni vikubwa sana, unajenga mjumba wako wa nguvu na kutengeneza lawn ya kukupatia upepo mwanana.Kijichi ni Mbagara iliyochangamka.
wekeni picha hata tufurahishe macho jamani.....Duh Ile sehemu ni nzuri sana.
Wengine wana roho ndogo, wakipata pesa kidogo wanaanza kupaparika.Ha
Hayo yalimkuta ndugu yangu alipokuta mlinzi aliishi vizuri lakini ilitokea zari akafanya issue Mija akapata Kama mil80 Basi alipagawa Kila demu alimtaka Yeye ,kwa Sasa hatunae Tena alukufa kwa ngoma
Lini hyoWengine wana roho ndogo, wakipata pesa kidogo wanaanza kupaparika.
Kuna msela baada ya kuona kazi hakuna, akaamua kujiajiri. Akakaza moyo akaanza kukaanga keki na kuuza, akadumu katika biashara yake mtaji ukakua, akapanua eneo lake la biashara, akawa hauzi keki peke yake, akafungua mgahawa pia.
Kama ujuajvyo mademu, ukiwa huna kitu hawana habari na wewe, ukiwa na kitu wanajisogsza bila hata kuwatongoza. Jamaa baada ya kuona anafuatwa fuatwa na mademu akaona yeye ndiyo yeye. Akaanza umalaya. Amekufa na ngoma, pesa zake zimemuua.
Miaka ya 2010
Pole kwa kuachwa mkubwa, vp kwa sasa unajionaje na hali.Nataman kuwa na nyumba kali.
Demu wangu asingeniacha kirahisi vile.
Acha tu. Ila ni tabia ya binadamu na siyo kibongo. Ila usinywee sana. Waweza pata mchongo wa wizi kijambazi au kifisafidi ukaishia jela. Jifariji kuwa its a blessing in disguise umewekewa rostoki.Dah yani bongo kupeana ramani ya kupiga maisha huwaga ngumu sana yani 😅😅😅 mtu akikupa ishu labda ambayo ya kipuuzi ya mshahara laki na nusu! Ila kazi za kueleweka hamna mtu atakupa hints