Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Hicho kikundi cha watu wa ovyo anachokisema mheshimiwa Rais wetu, kinaonekana ni kama kina watu wenye nguvu kubwa sana
Sasa sijui ni kina nani hao wenye nguvu kubwa kiasi hicho?
Ni matumaini yangu, kwa nguvu kubwa za kikatiba alizonazo mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, watu hao wataondolewa haraka iwezekavyo ndani ya serikali, ili mheshimiwa Rais wetu na serikali yake waweze kufanya kazi ya kutuletea maendeleo sisi wananchi wao ipasavyo
Sasa sijui ni kina nani hao wenye nguvu kubwa kiasi hicho?
Ni matumaini yangu, kwa nguvu kubwa za kikatiba alizonazo mheshimiwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, watu hao wataondolewa haraka iwezekavyo ndani ya serikali, ili mheshimiwa Rais wetu na serikali yake waweze kufanya kazi ya kutuletea maendeleo sisi wananchi wao ipasavyo