Umeona ehhDuh utumwa upo ndani ya damu yao hawa WaKenya
Sana walahiMakenya ni majitu majingajinga sana
Ila wangembeba mwafrika mwezao hapo vipi?
Ni Tuvalu walipokwenda sio KenyaIvii hii ni wakenya kweli au tunawasingizia?
Yaa hata kwa jinsi wanavyoonekana haiwezekani wakawa wakenya, ila wakenya wanatakiwa wabadilike unafiki wao wa kujipendekeza kwa wazungu. Nasikia kipindi hicho wakiunga mkono serikali ya kibaguzi ya makaburu kule afrika kusiniNi Tuvalu walipokwenda sio Kenya
out of Topic: kuna app inayomatch picha kuleta results mtandaoni?.. au umegoogle vipi mkuu!?.Acheni kupotoshwa jamani
Yaani imenichukua seconds tu ku google na kuona hapo sio Kenya bali ni Tuvalu duu hata kama ni utani huu umezidi sasa.
Hawana maana hao na njaa yao kaliYaa hata kwa jinsi wanavyoonekana haiwezekani wakawa wakenya, ila wakenya wanatakiwa wabadilike unafiki wao wa kujipendekeza kwa wazungu. Nasikia kipindi hicho wakiunga mkono serikali ya kibaguzi ya makaburu kule afrika kusini