Duh kaja kufanya nini tena?
Ilikuwa akamatwe na Interpol Na Pia hati ya kusafiria aliyonayo Imeelekea ku 'expire' Na Hata visa ya Matibabu India ilisha chacha
Ni bora angetoa swadaka Kwa kumpa Mtu dili lamkumkamata apate mtaji
Duh kaja kufanya nini tena?
Kwa hiyo mkuuMade for great minds
Hapana sina sifa ya u G.TYou’re a GT too
Mh! Hans Pope mtata. Tusubiri tu versions kadha wa kadha za hii movie.Usiku ulikuwa mrefu, hatimaye kumekucha. Katua, kanaswa! Wanaye...
Tutarajie nini kitafuata?
Salama Mkuu, hizi ndizo Thread za JF nayoijuaMade for great minds
Ukiamka ndoto yako itakuwa imeisha.Tanzania imeonesha imekuwa kwenye diplomasia yake, Mahiga alifanya mazungumzo na nchi aliyokimbilia, wakakubali extradition ya mdau. Mazungumzo yanaendelea vizuri US na Finland, kuna fugitives wawili soon watatua Dar kulipa madeni yao kwa jamii
Nimetamani utumie code simple kueleweka!Nyie mnaona jambo la kawaida hili. Mie Napata mashaka kidogo kuwa usije kuwa mwanzo wa jambo linguine tusilotarajia. Kumbukeni yeye alikuwa nani hapo awali! na kuna usemi wa Kikwere unasema hivi Once a soldier always a soldier nimemkumbuka sana Jerry Rawlings alicheza game mara mbili.
Tukumbuke kuwa huwa wapo watu kazi yao kusubiri wa kulianzisha tuu, kasha wanalicheza!
FoS wazee wa mipango mipangoKlabu ya Simba ni kama kikundi cha maharamia!