james H mapunda
Member
- Aug 8, 2013
- 29
- 16
Wadau, kuna dada mmoja namuelewa sana ni mzuri na tulishaanza mahusiano kwa mbali ila hatujafanya mapenzi. Tatizo aliniona nakula Nguruwe, kwa mbali akaanza kunikwepa nikimtafuta anachuna.
Siku moja akanitumia SMS tatizo Nguruwe 😃, nilimwambia basi kana tatizo ndo hilo nitajitahidi kuacha kidogokidogo, akakataa.
Sasa juzi niko kwenye gari natoka Studio naenda Mwananyamala nimemuona pale Garage usiku kama mida ya saa nne anavunja nazi nikamuita kabisa akageuka akakimbia 😲
Nikamtumia SMS nikimbembeleza tuwe pamoja, anasema tatizo nakula Nguruwe, nikamwambia mbona wewe unaenda kwa Waganga? Ananiambia eti anaweka mambo sawa tu .😃.
Siku moja akanitumia SMS tatizo Nguruwe 😃, nilimwambia basi kana tatizo ndo hilo nitajitahidi kuacha kidogokidogo, akakataa.
Sasa juzi niko kwenye gari natoka Studio naenda Mwananyamala nimemuona pale Garage usiku kama mida ya saa nne anavunja nazi nikamuita kabisa akageuka akakimbia 😲
Nikamtumia SMS nikimbembeleza tuwe pamoja, anasema tatizo nakula Nguruwe, nikamwambia mbona wewe unaenda kwa Waganga? Ananiambia eti anaweka mambo sawa tu .😃.