HakikaHuyo Dada anamambo ya ajabu sana.baada ya kusaidiwa Anazingua huyo Jamaa achukue funguo za gari na nyumba aliyoijenga pia aachane nae kwani dunia hii hainaga mwanamke mmoja hata siku moja.ila funzo kwa wanaume wenzangu tuache habari za kupenda mpaka mwanamke anajua maana hawa wakijua wanasumbua sana bora akawa hajui
Sent using Jamii Forums mobile app