Hanitaki kisa kasikia nina mtoto wa nje

Minja Ngalason

JF-Expert Member
Jan 8, 2017
846
1,020
Wakuu nawasalim,

Mimi na rafiki yangu fulani ambaye tumeivana nae kweli kwa mda, cha kushangaza rafiki yangu huyu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada fulani hivi ambaye walitokea kupendana kweli na isitoshe mpaka nyumbani kwao walikuwa wakimfahamu kama wife to be.

Na isitoshe kuhusu swala la kujali huyu jamaa ni hatari ni hata juzi tu amemlipia huyu dada tickect ya kwenda bonden S.A kwa ndugu zake na kula bata hadi mimi shahidi tulimpeleka uwanja wa ndege na jamaa.

Baada ya kurudi ikatokea huyu dada kasikia uvumi kwa dada yake jamaa ana mtoto wa nje so anataka amwache jamaa kwa shinikizo la dada alafu isitoshe jamaa kamsaidia kwa mengi sana kama vile kumnunulia gari, kamjengea nyumba sasa nimeamua kuleta hili swala kwa wanajamvi ili kunisaidia kwa huyu jamaa yangu ambaye ni kama ndugu kwangu.

Actually najaribu sana kumsihi huyu dada asisikilize maneno ya watu na kamwe hakuna binadamu mkamilifu lakini inavyoonekana anaogopa kutengwa na ndugu zake lakini anampenda jamaa.

Nisaidieni waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nawasalim, mm na rafiki yangu fulan ambaye tumeivana nae kweli kwa mda cha kushangaza rafiki yangu hyu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada flani hv ambaye walitokea kupendana kweli na isitoshe mpka nyumban kwao walikuwa wakimfaham kama wife to be.Na isitoshe kuhusu swala la kujali hyu jamaa n htari n hta juzi tu amemlipia hyu dada tickect ya kwenda bonden S.A kwa ndgu zke na kula bata hd mm shahid tulimpeleka uwanja wa ndege na jamaa.Baada ya kurudi ikatokea hyu dada kasikia uvumi kwa dada yke jamaa ana mtoto wa nje so anataka amwache jamaa kwa shnikizo la dada afu isitoshe jmaa Kamsaidia kwa mengi sna km vile kumnunulia gari,kamjengea nyumba ss nimeamua kuleta hili swala kwa wanajamvi Ili kunisaidia kwa hyu jamaa angu ambaye n km ndgu kwangu

Actually najarbu sna kumsihi hyu dada asisikilize maneno ya watu na kamwe hakuna binadam mkamilifu lkn inavyoonekana anaogopa kutengwa na ndgu zake lkn anampenda jamaa

Nisaidieni waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri hii story inakuhusu wewe japo umejitahidi kumvalisha rafiki yako laiki Mwanzo na Mwisho umesema inakuhusu wewe na unahitaji msaada.

Pole Mkuu hao ndiyo wadada wetu kamwe usimuhudumie Mwanamke asiye Mke wako na hata Mke wako kuwa Makini na siyo kwa asilimia zote.. Pole
 
Huyo Dada anamambo ya ajabu sana.baada ya kusaidiwa Anazingua huyo Jamaa achukue funguo za gari na nyumba aliyoijenga pia aachane nae kwani dunia hii hainaga mwanamke mmoja hata siku moja.ila funzo kwa wanaume wenzangu tuache habari za kupenda mpaka mwanamke anajua maana hawa wakijua wanasumbua sana bora akawa hajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu nawasalim, mm na rafiki yangu fulan ambaye tumeivana nae kweli kwa mda cha kushangaza rafiki yangu hyu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na dada flani hv ambaye walitokea kupendana kweli na isitoshe mpka nyumban kwao walikuwa wakimfaham kama wife to be.Na isitoshe kuhusu swala la kujali hyu jamaa n htari n hta juzi tu amemlipia hyu dada tickect ya kwenda bonden S.A kwa ndgu zke na kula bata hd mm shahid tulimpeleka uwanja wa ndege na jamaa.Baada ya kurudi ikatokea hyu dada kasikia uvumi kwa dada yke jamaa ana mtoto wa nje so anataka amwache jamaa kwa shnikizo la dada afu isitoshe jmaa Kamsaidia kwa mengi sna km vile kumnunulia gari,kamjengea nyumba ss nimeamua kuleta hili swala kwa wanajamvi Ili kunisaidia kwa hyu jamaa angu ambaye n km ndgu kwangu

Actually najarbu sna kumsihi hyu dada asisikilize maneno ya watu na kamwe hakuna binadam mkamilifu lkn inavyoonekana anaogopa kutengwa na ndgu zake lkn anampenda jamaa

Nisaidieni waungwana

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE


Usimwamini sana mwanamke.
 
Huyo ni user alikua anamtumia kaka Wa watu,hivi mtoto anapunguza nini kwenye mapenzi yao? Kiukweli mi nazani MTU akipenda kuna vitu sio Tatizo kabisaa,ndio maana maandiko husema,upendo husitiri wingi Wa dhambi,kwasabu kuna mapungufu yanakua hayana uzito kabisaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh! umenifanya nikumbuke uzi wa jamaa mmoja hivi jf
"Usimhudumie mwanamke ambaye siyo mke wako"
Hapa ndipo panaponekana gharama ya kujitunza
Usiku mwema
 
Back
Top Bottom