Daah embu mchunguze..Yaani mkuu hata nikimpigia simu usiku wa manane ana-respond faster sana!!
Huyu keshakuua. Kama unabisha nendeni mkapime. Yaani unajisifu kwa kulishwa dozi ya wadudu?
Poleee
Ushaunguzwa wee boya.. shtuka
Huyu keshakuua. Kama unabisha nendeni mkapime. Yaani unajisifu kwa kulishwa dozi ya wadudu?
Poleee
Habarini za Jumapili wakuu? Moja kwa moja bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu. Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha thamani kwake.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti, cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea, nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi, nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yoyote yale huwa hana kizuizi chochote kile. Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Kwanini unasema nimeshaunguzwa?Je kama sijaunguzwa?
Kajichanganya watu wanamchana ana mind...wenye experience tumempa scenario anajifanya et wamepima..anafanya mchezo na kupima nin...anadhan kupima ni kama. Kuj....mbaNajielewa. Mtu unaamsha unagonga unaishia. Unadhani mko wangapi?
Kwanini hajali?
Kubali ushauri mkapime
Kudadadeki mpuuzi weHabarini za Jumapili wakuu? Moja kwa moja bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu. Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha thamani kwake.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti, cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea, nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi, nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yoyote yale huwa hana kizuizi chochote kile. Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Analikufumania vipi wakati wewe ndio humtafuta? Ulifanya kusudi kuwagonganisha?Habarini za Jumapili wakuu? Moja kwa moja bango linajieleza hapo juu.
Nina mchepuko wangu fulani hivi ambapo hadi kufikia sasa tuna muda kidogo katika mahusiano yetu. Off coz niseme tu nampenda lakini sijawekeza kitu chochote cha thamani kwake.
Issue iko hivi simtafuti kwenye simu na yeye pia hanitafuti, cha ajabu nikiamua kumtafuta muda wowote nampata hata saa nane za usiku nikipiga tu simu anapokea, nikitaka kuchakata ile kitu muda wowote ninaotaka mimi huwa hana pingamizi, nikitaka kulala kwake muda wowote ule kwa masaa yoyote yale huwa hana kizuizi chochote kile. Ananipikia pale ninapohitaji lakini vilevile ananifulia pale ninapohitaji.
Ameshanifumania mara kibao na mademu wengine.
Swali je ni mwamimifu katika mahusiano?
Je hachepuki sehemu nyingine?
Je ananipenda sana?
Naombeni ushauri wenu wakuu.
No strings attached.Hapo wote wawili mnatumiana tu kwa mahitaji ya kingono hakuna future hapo
But trust me hayo ndio mahusiano ya kiutu uzima Mahusiano ya namna hiyo Safi sana