Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halikuwa kama mimi maneno yangu ujue ushindi mwishosijui enzi za ujana wake alikuwaje
halikuwa kama mimi maneno yangu ujue ushindi mwisho
dunia ya leo inabidi ujinade mwenyewe najiita, hila nina sumaku ya kuvuta wanavyodai.heheheh fagilia fagilia wewe
haya bwana ..wanakuita handsome au unajiita handsome ?
dunia ya leo inabidi ujinade mwenyewe najiita, hila nina sumaku ya kuvuta wanavyodai.
kama ungejua FL1 wewe ndio sababu ya mi kujiunga humu ndani unauvutio fulani fulani hivi na maneno yako. hiyo avatar yako na hisi aiko tofauti na chombo chenyewe if not better.
Haya mrembo hila taratibu usijiunguze, mi wewe niiite chochote niweza kufika karibu yako (joke) kwi kwi kwi.hahahahaha hebu nikapike kwanza wewe ndio Mandela ? au mmasai handsome
dunia ya leo inabidi ujinade mwenyewe najiita, hila nina sumaku ya kuvuta wanavyodai.
kama ungejua FL1 wewe ndio sababu ya mi kujiunga humu ndani unauvutio fulani fulani hivi na maneno yako. hiyo avatar yako na hisi aiko tofauti na chombo chenyewe if not better.
Bahati hiyo ningeipata ya kumtoa dinner mbona ningeringa sana masai mie. Si unaona anajiita FL1 ujue ni daraja la juu hilo. Kama ni timu ya mpira owner billionaire inalipa mwisho wa siku.Rafiki, si umkaribishe valentino pale utakapopaparaz? ila umtahadharishe aje amekamilika, sio maswala a kusema ngoja niende ATM kidogo kumbe mambo mazito
Bahati hiyo ningeipata ya kumtoa dinner mbona ningeringa sana masai mie. Si unaona anajiita FL1 ujue ni daraja la juu hilo. Kama ni timu ya mpira owner billionaire inalipa mwisho wa siku.
Hila kwa akiba ya maneno angenipa hiyo nafasi aje yeye tu na tumbo tupu mimi ntamalize mengine ale, anywe, acheze, afurahi mengine yatakua maamuzi yake im a gent unajua.
Kazi ipo, hizi avatar mpaka zinaleta watu JF!
heheheh fagilia fagilia wewe
haya bwana ..wanakuita handsome au unajiita handsome ?
Jamaa mwana hisabatiNakuambia! na wewe tafuta avatar ya kuvuta watu. Bado tunahitaji ma-Great thinkers
Kweli ni handsome haswa, lakini hii, picha ni ya lini maana sidhani kama alivyo sasa hivi ndivyo alivyo kwenye picha (correct me if am wrong).
puicha ni ya siku nyingi, saa hizi mheshimiwa amezeeka zaidi. Miaka 91 sio mchezo ati.Kweli ni handsome haswa, lakini hii, picha ni ya lini maana sidhani kama alivyo sasa hivi ndivyo alivyo kwenye picha (correct me if am wrong).