Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

Wanabodi,

Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho kimefanywa mchana kweupe, tena akiwa kwenye eneo ambalo ni secure area!, maeneo ya waheshimiwa, ambayo yanalindwa wakati wote.

Kwanza tumshukuru Mungu, kumponya, maana kumiminiwa risasi 16 na kuendelea kuishi, ni muujiza wa Mwenyeezi Mungu tuu kwa sababu risasi moja tuu huwa inatosha kuondoa uhai wa binadamu, washambulizi wa Lissu, walidhamiria kumtoa uhai, wakapiga risasi 38 na bado Lissu aka survive, huu ni uthibitisho, Lissu ni mpango wa Mungu.

Wakati tukiendelea kusubiria taarifa rasmi ya ni nini haswa kilichotokea, na taarifa ya uchunguzi wa kipolisi wa jeshi letu la polisi, na tukiendelee kumtakia uponyaji wa haraka Mhe. Tundu Lissu, tukio hili linapelekea sisi watu wa kuhoji tuanze kuimulikia Chadema kwa kuiangazia baadhi ya trends zake kwa namna inavyoshughulikia issues serious kama hizi za security threats, jee Chadema ndio kingekuwa ikulu yetu, hivi ndivyo namna ambavyo wangeendesha nchi yetu.

Angalizo Muhimu Kabla Hujasoma Bandiko Hili!.
Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa trends reading.
Trend Reading ni Nini?.
Trend Reading ni elimu au ujuzi wa observation jinsi mtu, kitu, taasisi inavyo behave kwenye a certain situation, hivyo kufanya prediction, kama huu ndio mwenendo wake katika situation hii, then ingekuwa hivi, hiki kingetokea.
Elimu ya Trend Reading, Inafundishwa Wapi?
Haifundishwi popote, hii ni acquired knowledge ya observation tuu, ila msingi wake mkubwa ni somo la Historia, ambalo is the study of the past, in relation to the present, hivyo to determine the future kwa kufuatilia hulka, maneno na matendo ya mtu, kitu au taasisi husika.
Tukio la Shambulizi kwa Lissu Limepelekea Sisi Trend Readers Kosoma Trends za Chadema.
Trends za Chadema kabla ya tukio, zinapelekea sisi wengine kuanza kujiuliza kama huu ndio utendaji wa Chadema, ingelikuwaje kama ndio wangeshika nchi ile 2015?. Kabla hatujakwenda kwenye trends za Chadema, naomba niwape mfano rahisi wa Trends za Rais Magufuli.

Trends za Rais Magufuli.
Mfano hai wa hizi trends ni huu utawala wa sasa wa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli tangu ukiwa waziri, wakati huo hana mamlaka na hana katiba, kama ni kweli, na ilithibitishwa kuwa alionyesha ukabila na upendeleo kwa kugawa nyumba za serikali kwa ndugu zake hadi ... wake, sasa akiwa ni rais wa JMT, nini kitamzuia au kitamfanya asifanye upendeleo kwa kutoa vyeo kwa ndugu zake, jamaa zake, rafiki zake au kabila lake as long as wana sifa, vigezo na wana uwezo?, on top of that katiba inamruhusu kumteua mtu yoyote, kutoka popote, kwa sababu zozote au bila sababu zozote?.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...


Kama akiwa waziri aliwahi kutoa maamuzi kwa ubabe, uvunjifu wa sheria, na baadhi ya maamuzi yalilitia hasara taifa letu kwa kulipishwa fidia, sasa huyu ndiye rais wetu, mwenye mamlaka na mwenye katiba, na mwenye sheria, does he expected to act and behave differently now? . What do you expect of him na utawala wake?, nini kitamzuia asiundeleze ule ule ubabe na kufanya maamuzi magumu ya kibabe, hata kama mwisho wa siku, yatalitia taifa hasara, si tutalipa tuu fidia, kama huku nyuma tulilipa, nini kitatufanya sasa tusilipe?.
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Hivyo wote wanaopiga kelele kuwa rais Magufuli ni dikiteta, sio good trend readers, trends za Magufuli, sisi wengine trend readers, tuliwawekea humu
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...


Lakini pia hakuna ubishi, sote tulikubaliana hata humu JF, kuwa Tanzania hapa mahali tulipofika, tulimuhitaji sana mtu kama Magufuli ambaye ni dikiteta Mzalendo
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Vivyo hivyo kwa Chadema, kama wameshindwa
Kufuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia hili jambo, what are the chances kuwa wangekuwa kwenye ikulu yetu, wangefuata?.


Sasa just imagine kwa trends hizi za Chadema, kama ndio wangekuwa ikulu, hali ingekuwaje?.

Kama wewe sio trends reader, naomba kwenye bandiko hili, uishie hapa, huku ndani zaidi usiingie, kutakuchanganya bure asante.
Ma trend readers karibuni tuendelee tukate issues.

A Way Forward Kwa Usalama wa Wabunge Wetu na Viongozi Wetu.
Wakati tukisubiri taarifa rasmi, naomba kuchukua nafasi hii kutoa mapendekezo yangu ya way forward.
  1. Serikali, Idara ya Usalama na Jeshi letu la polisi wasipuuzie tena kitisho kinachotolewa na mtu yoyote, iwe ameripoti rasmi kituo cha polisi au hakuripoti, they should take it very serious. Ingekuwa hili tukio limetokea enzi za Nyerere, saa hizi watu wangeishafukuzwa kazi!. Mtu hawezi kusema anafuatiliwa, akataja number ya gari, halafu they did nothing!.
  2. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, visiendele kutumia neno "watu wasiojulikana" kama chaka la kufichia uzembe wa vyombo vya dola katika ufuatiliaji, kama ilivyo kwa yule mtu asiyejulikana, aliyemtishia Nape bastola, naye alikuwa akitumia gari aina ya Nissan nyeupe, picha zake zipo, video zipo, lakini ni mtu asiyejulikana!.Vyombo vya ulinzi vikisikia tishio, vifanye rapid response, hii ya watu wasiojulikana huku wanawajua fika, its not gonna last long!.
  3. Kila mbunge analipwa fedha za kumlipa dereva na msaidizi, Wabunge waishinikize serikali, kuziongeza fedha hizo ili madereva wote wa wabunge, wawe ni wale ni ma body guards wao waliopitia mafunzo na wawe ma pro ikiwemo kuwa armed.Kama Dereva wa Lissu angekuwa ni pro, nadhani tusinge fika hapa tulipofika.
  4. Wabunge na viongozi wetu wote, wapewe mikopo minene, ya kununua magari imara ya kisasa ya deraya, yasiyopenya risasi na yana GPS na IP camera mbele na nyuma na ndani, na kurekodi kila movements kwa command tuu, huku savers zikiwa at safe place na wawezeshwe kufunga IP-CCTV camers kwenye nyumba zao, na kwenye starehe zao, waache kwenda vichochoroni, wakazifanyie kwenye hoteli zinazoeleweka, CCTV cameras hadi kwenye parking!.
  5. Viongozi wote ambao wana hisi usalama wao uko mashakani, wawe armed, wavae BP kwenye publics na kuwa na high security alert. Ile hoja kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani, imeanza kuwa ni historia, leo imetokea kwa Lissu, hatuwezi kujua, kesho itakuwa ni zamu ya nani.
  6. Chadema kama chama kihakikishe kinafuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia mambo yake pia kiwafundishe kufuata sheria taratibu na kanuni na kuwafuatilia kuhakikisha kwenye kila jambo wabunge wake wanafuata sheria, taratibu na kanuni, vingenevyo kuna baadhi ya malamiko ya Chadema kutotendewa haki na serikali yetu ila ukichunguza kwa makini unakuta ni uzembe, ujinga na mapuuza tuu ya kutokufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni.
Hitimisho
Jambo hili la Chadema kupuuzia au kutofuata sheria, taratibu na kanuni, nitaendelea nalo baada ya hali ya Tundu Lissu kutengamaa na kurejea ulingoni ili nisionekane sina utu na ubinaadamu, badala ya kuwafariji Chadema katika kipindi hiki kigumu, sisi ndio kwanza tunazidi kuwasimanga, na kuwasakama, no!, hapa ni kutoa tuu angalizo, kwa sababu hata katika kulishughulia hili la Lissu, bado kuna sheria taratibu na kanuni za kufuata katika kumuuguza.

Kwa sasa naomba sote tuungane tuwe kitu kimoja katika kumuombea Mhe.Tundu Lissu uponaji wa haraka na kurejea katika majukumu yake, ndipo turejee humu tuambiane ukweli, kama Chadema ni serious party kinachohitaji kukabidhiwa nchi come 2020, then lazima kibadilike, kinjiondoe kwenye chama cha Siasa cha kiharakati na kugeuka chama kweli cha siasa kinachojiandaa kutawala nchi, msingi mkuu wa utawala ni kufutwa
kwa sheria, taratibu na kanuni.

School mate, Mhe. Tundu Lissu Get Well Soon!.

Paskali
"Mrejee na Joshua Nasari Paskali"
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
 
Leo ni Tundu Lissu day, ilikuwa arejee, leo, japo hakurejea, tunamuadhimisha kwa kumtafakari kwa sababu


Leo siku ya tarehe 7/Sept. 2019 ni siku ya kumbukumbu ya miaka miwili toka Mh.Tundu Lisu aliposhambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Mpaka leo bado wasiojulikana hawa bado hawatajulikana na uchunguzi mkubwa, makini na mkali wa Jeshi letu adilifu la polisi, unaendelea kuwabaini wasiojulikana hawa, hivi sasa kuna mashuhuda wawili muhimu sana, wanasubiriwa wao tuu kuhojiwa ndipo taarifa rasmi ya polisi kuhusu maendeleo ya uchunguzi huu ndipo ilatolewa.


Tuvute subra.

Get well soon Mhe. Tundu Lissu and welcome back home.

P
"Hajarudi?"
 
Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.


Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichoongozwa na mwenyekiti wake mh Mbowe kwa njia ya mtandao kimefanya maamuzi magumu mno.

Taarifa ya maamuzi hayo inategemewa kutolewa leo na Katibu Mkuu wa chama hicho Mh. John J. Mnyika.

—————
UPDATES
—————
Akitolea maamuzi hayo, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema

Kamati Kuu CHADEMA imeazimia Wabunge Anthony Komu na Joseph Selasini pamoja na kuwa wamejipotezea sifa ya uanachama wa CHADEMA, wameendelea kutoka kauli za kejeli, kashfa na kukiuka maagizo ya Chama, hivyo Chama kimeazimia kuwafukuza uanachama

Mbunge David Silinde na Wilfred Rwakatare sio tu wamekiuka agizo la Chama bali wamekuwa wakijitokeza kwenye vyombo vya habari kutoa maneno ya kashfa na kejeli dhidi ya maagizo ya Chama na Viongozi wa Chama, Kamati Kuu CHADEMA imefikia uamuzi wa kuwafuta uanachama.

Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, Mariamu Msabaha, ameshiriki kukiuka maagizo ya Chama, ilitakiwa awe mfano na kwakuwa amekwenda kinyume, amevuliwa nafasi zake zote ndani ya Chama na kubaki na Ubunge na atatakiwa ajieleze kwanini asichukuliwe hatua zaidi kwa kukiuka maagizo.

View attachment 1447012
View attachment 1447013
View attachment 1447014
Chadema ni chama kingongwe ambacho it never learns, hakijifunzi kwa makosa, and it keeps repeating makosa yale yale yanayokuja kukigharimu chama mbele ya safari.

Mimi ni miongoni mwa watu wachache humu jf ambaye niliisoma katiba ya Chadema kuliko hata baadhi ya wanachadema wenyewe.

Hawa japo wamefukuzwa, kufukuzwa huku hakukufuata utaratibu.

Ila kwa vile Bunge linavunjwa tarehe 28 ya mwezi huu, nawashauri waliofukuzwa wakubali tuu matokeo na kuachana na Chadema kwa amani bila kuibua mgogoro wowote kwasababu Spika atawalinda Bungeni wasifukuzike hadi Bunge livunjwe.

Swali ni when will Chadema learn from its past mistakes?!. Katiba ya Chadema ipo, taratibu za kufuata zipo, kwanini hawafuati katiba yao, sheria zao, taratibu zao na kanuni zao?. Tukiwaambia huu ni uhuni.

Kama handling tuu ya hii issue ndio hivi, Ikulu yetu hawa watu wataiweza?.

P
 
Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?! - JamiiForums
Wanabodi,
Hitimisho
Jambo hili la Chadema kupuuzia au kutofuata sheria, taratibu na kanuni, nitaendelea nalo baada ya hali ya Tundu Lissu kutengamaa na kurejea ulingoni ili nisionekane sina utu na ubinaadamu, badala ya kuwafariji Chadema katika kipindi hiki kigumu, sisi ndio kwanza tunazidi kuwasimanga, na kuwasakama, no!, hapa ni kutoa tuu angalizo, kwa sababu hata katika kulishughulia hili la Lissu, bado kuna sheria taratibu na kanuni za kufuata katika kumuuguza.

Kwa sasa naomba sote tuungane tuwe kitu kimoja katika kumuombea Mhe.Tundu Lissu uponaji wa haraka na kurejea katika majukumu yake, ndipo turejee humu tuambiane ukweli, kama Chadema ni serious party kinachohitaji kukabidhiwa nchi come 2020, then lazima kibadilike, kinjiondoe kwenye chama cha Siasa cha kiharakati na kugeuka chama kweli cha siasa kinachojiandaa kutawala nchi, msingi mkuu wa utawala ni kufutwa
kwa sheria, taratibu na kanuni.
Paskali
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums
Japo mimi sio official authority, ila nimetazama ile video clip, nimejiridhisha its "bonafide genuine!", haijapitia doctoring yoyote!, japo ni kweli technolojia hizo zipo, kama lengo ni kuichafua Chadema, then of all the people, not Rwakatare!.

Negation doesn't help much!, nawapongeza sana Chadema kwa this time to to act promptly on "damage control", the best way was now to do the "right thing" and to "do it right", ilikuwa ni kum "disown" Rwakatare!, hayo mengine yote ni siasa tuu!.

Pasco.
Chadema ni chama cha ajabu sana!, kuna watu unaweza kuwatimua lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.

Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.
Chadema sio tuu ina take for granted security issues za viongozi wake, kitendo cha kumfukuza Rwakatare, ni uthibitisho kuwa Chadema takes for granted hata security ya its own exixtance!, ikitokea Lakatare akaamua kufungua mdomo,
then kitakachofuata Chadema ni hiki
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums
Hiyo endapo yq bandiko hilo, imeshikwa na Mhe. Wilfred Lwakatare!.

P.
 
Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.

Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.

Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.

Je, kuna personal issues nje ya politik?

Jr
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
Wanabodi,

Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho kimefanywa mchana kweupe, tena akiwa kwenye eneo ambalo ni secure area!, maeneo ya waheshimiwa, ambayo yanalindwa wakati wote.

Kwanza tumshukuru Mungu, kumponya, maana kumiminiwa risasi 16 na kuendelea kuishi, ni muujiza wa Mwenyeezi Mungu tuu kwa sababu risasi moja tuu huwa inatosha kuondoa uhai wa binadamu, washambulizi wa Lissu, walidhamiria kumtoa uhai, wakapiga risasi 38 na bado Lissu aka survive, huu ni uthibitisho, Lissu ni mpango wa Mungu.

Wakati tukiendelea kusubiria taarifa rasmi ya ni nini haswa kilichotokea, na taarifa ya uchunguzi wa kipolisi wa jeshi letu la polisi, na tukiendelee kumtakia uponyaji wa haraka Mhe. Tundu Lissu, tukio hili linapelekea sisi watu wa kuhoji tuanze kuimulikia Chadema kwa kuiangazia baadhi ya trends zake kwa namna inavyoshughulikia issues serious kama hizi za security threats, jee Chadema ndio kingekuwa ikulu yetu, hivi ndivyo namna ambavyo wangeendesha nchi yetu.

Angalizo Muhimu Kabla Hujasoma Bandiko Hili!.
Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa trends reading.
Trend Reading ni Nini?.
Trend Reading ni elimu au ujuzi wa observation jinsi mtu, kitu, taasisi inavyo behave kwenye a certain situation, hivyo kufanya prediction, kama huu ndio mwenendo wake katika situation hii, then ingekuwa hivi, hiki kingetokea.
Elimu ya Trend Reading, Inafundishwa Wapi?
Haifundishwi popote, hii ni acquired knowledge ya observation tuu, ila msingi wake mkubwa ni somo la Historia, ambalo is the study of the past, in relation to the present, hivyo to determine the future kwa kufuatilia hulka, maneno na matendo ya mtu, kitu au taasisi husika.
Tukio la Shambulizi kwa Lissu Limepelekea Sisi Trend Readers Kosoma Trends za Chadema.
Trends za Chadema kabla ya tukio, zinapelekea sisi wengine kuanza kujiuliza kama huu ndio utendaji wa Chadema, ingelikuwaje kama ndio wangeshika nchi ile 2015?. Kabla hatujakwenda kwenye trends za Chadema, naomba niwape mfano rahisi wa Trends za Rais Magufuli.

Trends za Rais Magufuli.
Mfano hai wa hizi trends ni huu utawala wa sasa wa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli tangu ukiwa waziri, wakati huo hana mamlaka na hana katiba, kama ni kweli, na ilithibitishwa kuwa alionyesha ukabila na upendeleo kwa kugawa nyumba za serikali kwa ndugu zake hadi ... wake, sasa akiwa ni rais wa JMT, nini kitamzuia au kitamfanya asifanye upendeleo kwa kutoa vyeo kwa ndugu zake, jamaa zake, rafiki zake au kabila lake as long as wana sifa, vigezo na wana uwezo?, on top of that katiba inamruhusu kumteua mtu yoyote, kutoka popote, kwa sababu zozote au bila sababu zozote?.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...


Kama akiwa waziri aliwahi kutoa maamuzi kwa ubabe, uvunjifu wa sheria, na baadhi ya maamuzi yalilitia hasara taifa letu kwa kulipishwa fidia, sasa huyu ndiye rais wetu, mwenye mamlaka na mwenye katiba, na mwenye sheria, does he expected to act and behave differently now? . What do you expect of him na utawala wake?, nini kitamzuia asiundeleze ule ule ubabe na kufanya maamuzi magumu ya kibabe, hata kama mwisho wa siku, yatalitia taifa hasara, si tutalipa tuu fidia, kama huku nyuma tulilipa, nini kitatufanya sasa tusilipe?.
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Hivyo wote wanaopiga kelele kuwa rais Magufuli ni dikiteta, sio good trend readers, trends za Magufuli, sisi wengine trend readers, tuliwawekea humu
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...


Lakini pia hakuna ubishi, sote tulikubaliana hata humu JF, kuwa Tanzania hapa mahali tulipofika, tulimuhitaji sana mtu kama Magufuli ambaye ni dikiteta Mzalendo
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Vivyo hivyo kwa Chadema, kama wameshindwa
Kufuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia hili jambo, what are the chances kuwa wangekuwa kwenye ikulu yetu, wangefuata?.


Sasa just imagine kwa trends hizi za Chadema, kama ndio wangekuwa ikulu, hali ingekuwaje?.

Kama wewe sio trends reader, naomba kwenye bandiko hili, uishie hapa, huku ndani zaidi usiingie, kutakuchanganya bure asante.
Ma trend readers karibuni tuendelee tukate issues.

A Way Forward Kwa Usalama wa Wabunge Wetu na Viongozi Wetu.
Wakati tukisubiri taarifa rasmi, naomba kuchukua nafasi hii kutoa mapendekezo yangu ya way forward.
  1. Serikali, Idara ya Usalama na Jeshi letu la polisi wasipuuzie tena kitisho kinachotolewa na mtu yoyote, iwe ameripoti rasmi kituo cha polisi au hakuripoti, they should take it very serious. Ingekuwa hili tukio limetokea enzi za Nyerere, saa hizi watu wangeishafukuzwa kazi!. Mtu hawezi kusema anafuatiliwa, akataja number ya gari, halafu they did nothing!.
  2. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, visiendele kutumia neno "watu wasiojulikana" kama chaka la kufichia uzembe wa vyombo vya dola katika ufuatiliaji, kama ilivyo kwa yule mtu asiyejulikana, aliyemtishia Nape bastola, naye alikuwa akitumia gari aina ya Nissan nyeupe, picha zake zipo, video zipo, lakini ni mtu asiyejulikana!.Vyombo vya ulinzi vikisikia tishio, vifanye rapid response, hii ya watu wasiojulikana huku wanawajua fika, its not gonna last long!.
  3. Kila mbunge analipwa fedha za kumlipa dereva na msaidizi, Wabunge waishinikize serikali, kuziongeza fedha hizo ili madereva wote wa wabunge, wawe ni wale ni ma body guards wao waliopitia mafunzo na wawe ma pro ikiwemo kuwa armed.Kama Dereva wa Lissu angekuwa ni pro, nadhani tusinge fika hapa tulipofika.
  4. Wabunge na viongozi wetu wote, wapewe mikopo minene, ya kununua magari imara ya kisasa ya deraya, yasiyopenya risasi na yana GPS na IP camera mbele na nyuma na ndani, na kurekodi kila movements kwa command tuu, huku savers zikiwa at safe place na wawezeshwe kufunga IP-CCTV camers kwenye nyumba zao, na kwenye starehe zao, waache kwenda vichochoroni, wakazifanyie kwenye hoteli zinazoeleweka, CCTV cameras hadi kwenye parking!.
  5. Viongozi wote ambao wana hisi usalama wao uko mashakani, wawe armed, wavae BP kwenye publics na kuwa na high security alert. Ile hoja kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani, imeanza kuwa ni historia, leo imetokea kwa Lissu, hatuwezi kujua, kesho itakuwa ni zamu ya nani.
  6. Chadema kama chama kihakikishe kinafuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia mambo yake pia kiwafundishe kufuata sheria taratibu na kanuni na kuwafuatilia kuhakikisha kwenye kila jambo wabunge wake wanafuata sheria, taratibu na kanuni, vingenevyo kuna baadhi ya malamiko ya Chadema kutotendewa haki na serikali yetu ila ukichunguza kwa makini unakuta ni uzembe, ujinga na mapuuza tuu ya kutokufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni.
Hitimisho
Jambo hili la Chadema kupuuzia au kutofuata sheria, taratibu na kanuni, nitaendelea nalo baada ya hali ya Tundu Lissu kutengamaa na kurejea ulingoni ili nisionekane sina utu na ubinaadamu, badala ya kuwafariji Chadema katika kipindi hiki kigumu, sisi ndio kwanza tunazidi kuwasimanga, na kuwasakama, no!, hapa ni kutoa tuu angalizo, kwa sababu hata katika kulishughulia hili la Lissu, bado kuna sheria taratibu na kanuni za kufuata katika kumuuguza.

Kwa sasa naomba sote tuungane tuwe kitu kimoja katika kumuombea Mhe.Tundu Lissu uponaji wa haraka na kurejea katika majukumu yake, ndipo turejee humu tuambiane ukweli, kama Chadema ni serious party kinachohitaji kukabidhiwa nchi come 2020, then lazima kibadilike, kinjiondoe kwenye chama cha Siasa cha kiharakati na kugeuka chama kweli cha siasa kinachojiandaa kutawala nchi, msingi mkuu wa utawala ni kufutwa
kwa sheria, taratibu na kanuni.

School mate, Mhe. Tundu Lissu Get Well Soon!.

Paskali
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Ujue mambo ya kuchagua wanasiasa yana sababu nyingi: mapenzi tu yale yasiyo na sababu kwa mgombea, kumchagua tu ili mwingine asishinde, kupima uwezo wake, kuzingatia mahitaji ya nchi kwa wakati huo ama kupima mahitaji binafsi. Wacha wajigaragaze wachague wampendaye ni haki ya kila mtanzania.
" mchuma janga hula na nduguze"
Mkuu Madam Mwajuma , kwavile watu tumetofautiana uoni, vision, ukitokea wewe una uoni mkubwa, unaona mtu fulani ni janga, lakini kuna watu wa kwenu, wanamshabikia bila kujua ni janga, jee utawaacha tuu wachume janga, au angalau utawaonya na kuwapa angalizo kuwa huyo mnaemshabikia ni janga, mkimchagua ni sawa na mchuma janga, au utawaacha tuu wamchague wampendaye kwasababu ni haki yao ya kidemokrasia kumchagua yoyote wanayempenda hata kama ni janga?, na unajua kabisa mchuma janga hula na wakwao?.

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Tena wengine wetu kama akina sisi, kutoa maangalizo, tumeanza kitambo

Elections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Hili ni bandiko la swali tuu, jee kwa sasa kwa hali halisi ya Chadema ilivyo sasa, jee Ikulu yetu wanaiweza tuwape?, au tuwajaribu tuu?. Na kama ni kuwajaribu, ikitokea wakawa ni majanga ndio tunafanyaje?.

P
 
Wanabodi,

Kwanza sote tunalaani kwa dhati kabisa, kitendo alichofanyiwa Mhe. Tundu Lissu cha kumiminiwa risasi 38 na watu wasiojulikana, kati ya hizo risasi 16 zikampata!, kitendo ambacho kimefanywa mchana kweupe, tena akiwa kwenye eneo ambalo ni secure area!, maeneo ya waheshimiwa, ambayo yanalindwa wakati wote.

Kwanza tumshukuru Mungu, kumponya, maana kumiminiwa risasi 16 na kuendelea kuishi, ni muujiza wa Mwenyeezi Mungu tuu kwa sababu risasi moja tuu huwa inatosha kuondoa uhai wa binadamu, washambulizi wa Lissu, walidhamiria kumtoa uhai, wakapiga risasi 38 na bado Lissu aka survive, huu ni uthibitisho, Lissu ni mpango wa Mungu.

Wakati tukiendelea kusubiria taarifa rasmi ya ni nini haswa kilichotokea, na taarifa ya uchunguzi wa kipolisi wa jeshi letu la polisi, na tukiendelee kumtakia uponyaji wa haraka Mhe. Tundu Lissu, tukio hili linapelekea sisi watu wa kuhoji tuanze kuimulikia Chadema kwa kuiangazia baadhi ya trends zake kwa namna inavyoshughulikia issues serious kama hizi za security threats, jee Chadema ndio kingekuwa ikulu yetu, hivi ndivyo namna ambavyo wangeendesha nchi yetu.

Angalizo Muhimu Kabla Hujasoma Bandiko Hili!.
Hili ni bandiko la kitu kinachoitwa trends reading.
Trend Reading ni Nini?.
Trend Reading ni elimu au ujuzi wa observation jinsi mtu, kitu, taasisi inavyo behave kwenye a certain situation, hivyo kufanya prediction, kama huu ndio mwenendo wake katika situation hii, then ingekuwa hivi, hiki kingetokea.
Elimu ya Trend Reading, Inafundishwa Wapi?
Haifundishwi popote, hii ni acquired knowledge ya observation tuu, ila msingi wake mkubwa ni somo la Historia, ambalo is the study of the past, in relation to the present, hivyo to determine the future kwa kufuatilia hulka, maneno na matendo ya mtu, kitu au taasisi husika.
Tukio la Shambulizi kwa Lissu Limepelekea Sisi Trend Readers Kosoma Trends za Chadema.
Trends za Chadema kabla ya tukio, zinapelekea sisi wengine kuanza kujiuliza kama huu ndio utendaji wa Chadema, ingelikuwaje kama ndio wangeshika nchi ile 2015?. Kabla hatujakwenda kwenye trends za Chadema, naomba niwape mfano rahisi wa Trends za Rais Magufuli.

Trends za Rais Magufuli.
Mfano hai wa hizi trends ni huu utawala wa sasa wa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli tangu ukiwa waziri, wakati huo hana mamlaka na hana katiba, kama ni kweli, na ilithibitishwa kuwa alionyesha ukabila na upendeleo kwa kugawa nyumba za serikali kwa ndugu zake hadi ... wake, sasa akiwa ni rais wa JMT, nini kitamzuia au kitamfanya asifanye upendeleo kwa kutoa vyeo kwa ndugu zake, jamaa zake, rafiki zake au kabila lake as long as wana sifa, vigezo na wana uwezo?, on top of that katiba inamruhusu kumteua mtu yoyote, kutoka popote, kwa sababu zozote au bila sababu zozote?.
Je, wajua Rais aweza kuteua yeyote hata darasa la saba?. Teuzi ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...


Kama akiwa waziri aliwahi kutoa maamuzi kwa ubabe, uvunjifu wa sheria, na baadhi ya maamuzi yalilitia hasara taifa letu kwa kulipishwa fidia, sasa huyu ndiye rais wetu, mwenye mamlaka na mwenye katiba, na mwenye sheria, does he expected to act and behave differently now? . What do you expect of him na utawala wake?, nini kitamzuia asiundeleze ule ule ubabe na kufanya maamuzi magumu ya kibabe, hata kama mwisho wa siku, yatalitia taifa hasara, si tutalipa tuu fidia, kama huku nyuma tulilipa, nini kitatufanya sasa tusilipe?.
Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa ...

Hivyo wote wanaopiga kelele kuwa rais Magufuli ni dikiteta, sio good trend readers, trends za Magufuli, sisi wengine trend readers, tuliwawekea humu
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...


Lakini pia hakuna ubishi, sote tulikubaliana hata humu JF, kuwa Tanzania hapa mahali tulipofika, tulimuhitaji sana mtu kama Magufuli ambaye ni dikiteta Mzalendo
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...

Vivyo hivyo kwa Chadema, kama wameshindwa
Kufuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia hili jambo, what are the chances kuwa wangekuwa kwenye ikulu yetu, wangefuata?.


Sasa just imagine kwa trends hizi za Chadema, kama ndio wangekuwa ikulu, hali ingekuwaje?.

Kama wewe sio trends reader, naomba kwenye bandiko hili, uishie hapa, huku ndani zaidi usiingie, kutakuchanganya bure asante.
Ma trend readers karibuni tuendelee tukate issues.

A Way Forward Kwa Usalama wa Wabunge Wetu na Viongozi Wetu.
Wakati tukisubiri taarifa rasmi, naomba kuchukua nafasi hii kutoa mapendekezo yangu ya way forward.
  1. Serikali, Idara ya Usalama na Jeshi letu la polisi wasipuuzie tena kitisho kinachotolewa na mtu yoyote, iwe ameripoti rasmi kituo cha polisi au hakuripoti, they should take it very serious. Ingekuwa hili tukio limetokea enzi za Nyerere, saa hizi watu wangeishafukuzwa kazi!. Mtu hawezi kusema anafuatiliwa, akataja number ya gari, halafu they did nothing!.
  2. Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, visiendele kutumia neno "watu wasiojulikana" kama chaka la kufichia uzembe wa vyombo vya dola katika ufuatiliaji, kama ilivyo kwa yule mtu asiyejulikana, aliyemtishia Nape bastola, naye alikuwa akitumia gari aina ya Nissan nyeupe, picha zake zipo, video zipo, lakini ni mtu asiyejulikana!.Vyombo vya ulinzi vikisikia tishio, vifanye rapid response, hii ya watu wasiojulikana huku wanawajua fika, its not gonna last long!.
  3. Kila mbunge analipwa fedha za kumlipa dereva na msaidizi, Wabunge waishinikize serikali, kuziongeza fedha hizo ili madereva wote wa wabunge, wawe ni wale ni ma body guards wao waliopitia mafunzo na wawe ma pro ikiwemo kuwa armed.Kama Dereva wa Lissu angekuwa ni pro, nadhani tusinge fika hapa tulipofika.
  4. Wabunge na viongozi wetu wote, wapewe mikopo minene, ya kununua magari imara ya kisasa ya deraya, yasiyopenya risasi na yana GPS na IP camera mbele na nyuma na ndani, na kurekodi kila movements kwa command tuu, huku savers zikiwa at safe place na wawezeshwe kufunga IP-CCTV camers kwenye nyumba zao, na kwenye starehe zao, waache kwenda vichochoroni, wakazifanyie kwenye hoteli zinazoeleweka, CCTV cameras hadi kwenye parking!.
  5. Viongozi wote ambao wana hisi usalama wao uko mashakani, wawe armed, wavae BP kwenye publics na kuwa na high security alert. Ile hoja kuwa Tanzania ni kisiwa cha amani, imeanza kuwa ni historia, leo imetokea kwa Lissu, hatuwezi kujua, kesho itakuwa ni zamu ya nani.
  6. Chadema kama chama kihakikishe kinafuata sheria, taratibu na kanuni katika kushughulikia mambo yake pia kiwafundishe kufuata sheria taratibu na kanuni na kuwafuatilia kuhakikisha kwenye kila jambo wabunge wake wanafuata sheria, taratibu na kanuni, vingenevyo kuna baadhi ya malamiko ya Chadema kutotendewa haki na serikali yetu ila ukichunguza kwa makini unakuta ni uzembe, ujinga na mapuuza tuu ya kutokufuatwa kwa sheria, taratibu na kanuni.
Hitimisho
Jambo hili la Chadema kupuuzia au kutofuata sheria, taratibu na kanuni, nitaendelea nalo baada ya hali ya Tundu Lissu kutengamaa na kurejea ulingoni ili nisionekane sina utu na ubinaadamu, badala ya kuwafariji Chadema katika kipindi hiki kigumu, sisi ndio kwanza tunazidi kuwasimanga, na kuwasakama, no!, hapa ni kutoa tuu angalizo, kwa sababu hata katika kulishughulia hili la Lissu, bado kuna sheria taratibu na kanuni za kufuata katika kumuuguza.

Kwa sasa naomba sote tuungane tuwe kitu kimoja katika kumuombea Mhe.Tundu Lissu uponaji wa haraka na kurejea katika majukumu yake, ndipo turejee humu tuambiane ukweli, kama Chadema ni serious party kinachohitaji kukabidhiwa nchi come 2020, then lazima kibadilike, kinjiondoe kwenye chama cha Siasa cha kiharakati na kugeuka chama kweli cha siasa kinachojiandaa kutawala nchi, msingi mkuu wa utawala ni kufutwa
kwa sheria, taratibu na kanuni.

School mate, Mhe. Tundu Lissu Get Well Soon!.

Paskali
mkuu, mimi nimeipenda hii hapa chini... aisee nishagundua kwa nini JPM hakupi uteuzi pamoja na kwamba umegeuza kibao kumfagilia.

kwa hizi serious accusations zako hapa chini hata mimi ningekuwa JPM nisingekuteua hata ukatibu wa kijiji aisee - ulilikoroga bila ya kuweka akiba ya maneno and now it has come back to haunt you.... pole sana mkuu!!

Trends za Rais Magufuli.
Mfano hai wa hizi trends ni huu utawala wa sasa wa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli tangu ukiwa waziri, wakati huo hana mamlaka na hana katiba, kama ni kweli, na ilithibitishwa kuwa alionyesha ukabila na upendeleo kwa kugawa nyumba za serikali kwa ndugu zake hadi ... wake, sasa akiwa ni rais wa JMT, nini kitamzuia au kitamfanya asifanye upendeleo kwa kutoa vyeo kwa ndugu zake, jamaa zake, rafiki zake au kabila lake as long as wana sifa, vigezo na wana uwezo?, on top of that katiba inamruhusu kumteua mtu yoyote, kutoka popote, kwa sababu zozote au bila sababu zozote?.
 
mkuu, mimi nimeipenda hii hapa chini... aisee nishagundua kwa nini JPM hakupi uteuzi pamoja na kwamba umegeuza kibao kumfagilia.

kwa hizi serious accusations zako hapa chini hata mimi ningekuwa JPM nisingekuteua hata ukatibu wa kijiji aisee - ulilikoroga bila ya kuweka akiba ya maneno and now it has come back to haunt you.... pole sana mkuu!!

Trends za Rais Magufuli.
Mfano hai wa hizi trends ni huu utawala wa sasa wa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli tangu ukiwa waziri, wakati huo hana mamlaka na hana katiba, kama ni kweli, na ilithibitishwa kuwa alionyesha ukabila na upendeleo kwa kugawa nyumba za serikali kwa ndugu zake hadi ... wake, sasa akiwa ni rais wa JMT, nini kitamzuia au kitamfanya asifanye upendeleo kwa kutoa vyeo kwa ndugu zake, jamaa zake, rafiki zake au kabila lake as long as wana sifa, vigezo na wana uwezo?, on top of that katiba inamruhusu kumteua mtu yoyote, kutoka popote, kwa sababu zozote au bila sababu zozote?.
Duh...!, ngoja niki edit fasta!.
P
 
Hahahaaaa!

Too little too late.... wapambe wake walishai screenshot hii kitambo na nakala yake anayo mwenyewe JPM kibindoni mwake... hahahaaaa!
Duh...!, kumbe ndio maana...!, licha ya kujitahidi sana lakini sili shavu!, kumbe jamaa mavitu yote anayo kibindoni!.
P
 
Hakuna kitakachomzuia. Toja geko lolo: Mbate Mayanga Construction; Doto James; IGP, CDF, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Waziri wa Fedha, Katibu Mkuu CCM, Mwenezi ccm, Msajili wa vyama, Mwenyekiti Tume ya Uchaguzi, Mkurugenzi wa uchaguzi, waziri wa madini, waziri wa nishati, Maliasili na Utalii, mifugo, elimu.

Lekaga nkoi.
 
Hakuna kitakachomzuia. Toja geko lolo: Mbate Mayanga Construction; Doto James; IGP, CDF, Jaji Mkuu, Mwanasheria Mkuu, Waziri wa Fedha, Katibu Mkuu CCM, Mwenezi ccm, Msajili wa vyama, Mwenyekiti Tume ya Uchaguzi, Mkurugenzi wa uchaguzi, waziri wa madini, waziri wa nishati, Maliasili na Utalii, mifugo, elimu.

Lekaga nkoi.
Nalekaga
P
 
Back
Top Bottom