Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

Msingi mkuu wa kutawala nchi ni kufuata Katiba, sheria, taratibu na kanuni. Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha, ni Baraza Kuu, CC ya Chadema, ilipata wapi mamlaka ya kumvua uanachama Halima Mdee?!. Halafu Baraza Kuu likabariki!.
Can such people, be entrusted with Ikulu yetu?. Jee wakishinda Ikulu yetu wangeweza?.
P
Nyie wanasheria wa darasani bwana! Halima Mdee hakufanya matendo yale ya kihuni kama mwenyekiti wa Bawacha, alifanya kama mwanachama wa Chadema, halafu unataka ashughulikiwe kama mwenyekiti wa Bawacha? Haya mapungufu unayoyaonesha hapa nadhani ni kwa vile elimu yako ya sheria "haijaboreshwa", ...jiongeze!
 
Hawawezi kuongoza nchi.. yaani wao ni mwaka 0000. Wanajijua na ndio maana ni waropokaji tu.. kama leo ameumbuliwa huyo mpiga kelelee alisema hakuna nafasi ya Kaimj Jaji Mkuu.. ndio ambaye hataki kuyajua basi tena.. mwanasheria muongoooooooo nimefurahi Jaji Mkuu kayasema leo huko halipo afikirie kusoma tena ya nchi hii.. na ambao wanafata mikumbo hawapendi kutasoma wenyewe ambayo yapo wazi watajiju na maneno yao machafu.. na pia kujifanya wajuaji kumbe hawana fikra.. nacheka tu. Angekuwa anasema ya kweli angeripoti polisi.. tukio la juzi bado naamini ni mpango wa ndani.. kuna mengi yalitokea na yanaonyesha mipango ambay kivingine iliwashinda wakachanganyikiwa.. na pia wengine walizidisha waliyopanga...
Yaani wachawi utawajua tu?
 
Mkuu naomba unieleze uhusiano uliopo kati ya wapinzani na vyombo vyetu vya ulinzi?

Vyombo vyetu vya ulinzi vimejipambanua kuwa ni maadui wa wapinzani. Mifano ipo mingi tu nadhani unaifahamu .
Adui yako ambaye anajaribu kila siku kukutaftia namna ya kukudhuru(mfano kutaka kukubambikia kesi ya madawa ya kulevya kwa kukupima mkojo) hata ukimwambia nini awezi kukulinda. Kama taarifa alishatoa na majibu ya kipumbavu ya igp umeyasikia.
Hivi mbona lisu akiongea kwenye vyombo vya habari huwa wanamkamata bila ya mtu yeyote kushtaki?

Swala la ulinzi wa raia serekari ndio jukumu lake, au unataka chadema liwe na jeshi lake na silaha? Taarifa ilishatoa hadharani ilipaswa serekari imlinde.

Mbona nape anasema wamesharipoti ilo gari na hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa?
Mkuu unaheshimika ktk ili jukwaa acha kutoa hoja nyepesi namna iyo
Yaani Kuna watu Siasa za.kishabiki zinawakolea.wanakosa hadi utu!!
Aliandika haya akijiandaa kuomba Juruma ya Ubunge 2020...!
Hivi ktk hali Ile CHADEMA.wanhefanya Nini!
 
Wanabodi,
.
Hitimisho
Jambo hili la Chadema kupuuzia au kutofuata sheria, taratibu na kanuni, nitaendelea nalo baada ya hali ya Tundu Lissu kutengamaa na kurejea ulingoni ili nisionekane sina utu na ubinaadamu, badala ya kuwafariji Chadema katika kipindi hiki kigumu, sisi ndio kwanza tunazidi kuwasimanga, na kuwasakama, no!, hapa ni kutoa tuu angalizo, kwa sababu hata katika kulishughulia hili la Lissu, bado kuna sheria taratibu na kanuni za kufuata katika kumuuguza.

Kwa sasa naomba sote tuungane tuwe kitu kimoja katika kumuombea Mhe.Tundu Lissu uponaji wa haraka na kurejea katika majukumu yake, ndipo turejee humu tuambiane ukweli, kama Chadema ni serious party kinachohitaji kukabidhiwa nchi come 2020, then lazima kibadilike, kinjiondoe kwenye chama cha Siasa cha kiharakati na kugeuka chama kweli cha siasa kinachojiandaa kutawala nchi, msingi mkuu wa utawala ni kufutwa
kwa sheria, taratibu na kanuni.

School mate, Mhe. Tundu Lissu Get Well Soon!.

Paskali
Maadam Lissu amepona na amerudi tena ulingoni LIVE: Mahojiano na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu katika Clouds 360
Sasa maswali haya tunaweza kuendelea nayo!.
Lissu nitamtafuta kwa mahojiano.
Lissu welcome back home
P
 
Back
Top Bottom