Erick Richard R-Madrid
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 399
- 279
Serikali wilayani Handeni imewapiga marufuku wakulima kuacha kuuza Mahindi yakiwa shambani ili waweze kutumia vyema fursa ya mavuno ya msimu wa mvua za masika.
Pia kujiwekea chakula badala ya kuitegemea serikali kuwapelekea chakula cha bei nafuu kutoka hifadhi ya taifa ya chakula.
Wilaya ya Handeni kwa sasa inaongozwa na Mh. Godwin Gondwe
SOURCE: ITV
Pia kujiwekea chakula badala ya kuitegemea serikali kuwapelekea chakula cha bei nafuu kutoka hifadhi ya taifa ya chakula.
Wilaya ya Handeni kwa sasa inaongozwa na Mh. Godwin Gondwe
SOURCE: ITV