ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 639
- Thread starter
- #61
Dhamiri inakutesa kwa kuuwa viumbe wasiokuwa na hatia,utanyooka na umalaya wako sikukutuma mimiHilo ndio linakustahili maskini wa akili wewe.
Dhamiri inakutesa kwa kuuwa viumbe wasiokuwa na hatia,utanyooka na umalaya wako sikukutuma mimiHilo ndio linakustahili maskini wa akili wewe.
Utetezi wako umeeleweka una hoja ya msingi,na inawezekana hujawahi kutoa mimba ndio maana hujapanic,comment za watoa mimba hazifichikiSawa inawezekana zinatolewa ila kutokua na mtoto haimaanishi labda huyo mtu ametoa or huwa anatoa mimba kuna njia za kuzuia, pia kuwa na mtoto haimaanishi sana kwamba huyo mtu hakutoa mimba zingine before. Mi nadhani tusigeneralize hapo. Si kweli kwamba asiye na mtoto na si bikra basi ni muuaji
Mbona una hasira Mkuu nini kimekukutaHooo mimi siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa (single mother)sawa usioe ila hakikisha utakayemuoa ana bikra,kama hana bikra ujue alishatiwa mimba kumi kidogo akaziporomosha,umeoa jambazi muda wowote anaweza akakutoa roho kwa jambo dogo tu,kama kuna mtu anaona kuuwa ni jambo jepesi basi na hawa wanawake waliokwisha waua watoto wao wakiwa matumboni mwao,ni watu hatari kuliko corona ,hawachelewi kuuwa au kujinyonga.
Nawapenda sana single mothers,wana mioyo ya upendo na uvumilivu ,walijua wataitwa majina ya ajabu ajabu lakini hawakuwa tayari kuuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,kama nilishawahi kuwasema vibaya popote nisameheni.
Nilimkimbia single mother nikaoa muuwaji wa mimba tatuMbona una hasira Mkuu nini kimekukuta
Pole sana Kiongozi, Kama ametubu msamehe tuNilimkimbia single mother nikaoa muuwaji wa mimba tatu
Kuna aliyenishangaa zaidi yako wewe mtoa mimba? Narudia tena nimerusha jiwe kwenye kundi la mbwa anayebweka limemkuta,endelea kubweka ukiugulia maumivuWewe punguani nini hao viumbe uliweka wewe nikawaua kwa hiyo kila anakushangaa upupu ulioandika ni mwanamke wewe mwendawazimu nini.
AsantePole sana Kiongozi, Kama ametubu msamehe tu
Hebu waacheni wanawake, wakitunyima TUNALALAMIKA, wakitupea TUNAWADHARAU, Tukiwapa mimba TUNAWAKIMBIA, wakitoa WAUWAJI, wakikomaa wakizaa SINGO MAZA,Tunawadharau.Hooo mimi siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa (single mother)sawa usioe ila hakikisha utakayemuoa ana bikra,kama hana bikra ujue alishatiwa mimba kumi kidogo akaziporomosha,umeoa jambazi muda wowote anaweza akakutoa roho kwa jambo dogo tu,kama kuna mtu anaona kuuwa ni jambo jepesi basi na hawa wanawake waliokwisha waua watoto wao wakiwa matumboni mwao,ni watu hatari kuliko corona ,hawachelewi kuuwa au kujinyonga.
Nawapenda sana single mothers,wana mioyo ya upendo na uvumilivu ,walijua wataitwa majina ya ajabu ajabu lakini hawakuwa tayari kuuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,kama nilishawahi kuwasema vibaya popote nisameheni.
Kama akikupa wewe halafu akampa na mwingine halafu wewe ukajua ,utamsifia?Hebu waacheni wanawake, wakitunyima TUNALALAMIKA, wakitupea TUNAWADHARAU, Tukiwapa mimba TUNAWAKIMBIA, wakitoa WAUWAJI, wakikomaa wakizaa SINGO MAZA,Tunawadharau.
Nilishasema sitokaa nihukumu mwanamke, kwani Dunia hii hakuna kitu kazi kama kuwa MWANAMKE.
NB: Nakupa jaribio, tafuta siku nenda baa, tafuta malaya anaejiuza, mtreat kwa heshima kama mwanamke, mzoee, mpe uhuru wa kuongea, alafu muulize ilikuwaje akafika hapo..
Utagundua ROOT CAUSE inarudi kwa mwanaume...
TUWAHESHIMU HAWA VIUMBE PALE INAPOBIDI.
Ukionja halafu akatulia na wewe ukimwacha umemuonea, tatizo lao hawatulii wanapenda kuchangisha wanajiona vitega uchumi,yakiwakuta ya kuwakuta lawama kwa kwetuKwa upande una point, ila anayefanya amefikia hatua hiyo ni sisi tunaotaka kuonja, mtoto wa watu anakuja very serious, then ukishapata utakacho unakimbia afanyeje sasa? Tuache uharibifu hayo hayatakiwepo
Wewe kichaa unacomment nini kwenye kwenye thread iliyododa?Wewe pumbavu unataka tu kuongeza comment kwenye thread yako iliyododa