Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 20,116
- 49,632
Hiyo hiyo unayoijuaJike la mbegu! Mbegu gani unaongelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hiyo unayoijuaJike la mbegu! Mbegu gani unaongelea?
Hiyo inawezekana tena unakuta yuko seat ya mbele kabisa, ila ndo mpaka afanye tobaCha kushangaza huyo akitubu unaweza kumkuta Mbinguni hahaha
Hiyo hiyo unayoijua
Vyovyote vile kitakachofurahisha ulimi na nafsi yakoJike halina mbegu mkuu, wewe ni Jike Shupa!
Kwahiyo uzi woteee huu ni kutetea SINGO MAZA?Hooo mimi siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa (single mother)sawa usioe ila hakikisha utakayemuoa ana bikra,kama hana bikra ujue alishatiwa mimba kumi kidogo akaziporomosha,umeoa jambazi muda wowote anaweza akakutoa roho kwa jambo dogo tu,kama kuna mtu anaona kuuwa ni jambo jepesi basi na hawa wanawake waliokwisha waua watoto wao wakiwa matumboni mwao,ni watu hatari kuliko corona ,hawachelewi kuuwa au kujinyonga.
Nawapenda sana single mothers,wana mioyo ya upendo na uvumilivu ,walijua wataitwa majina ya ajabu ajabu lakini hawakuwa tayari kuuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,kama nilishawahi kuwasema vibaya popote nisameheni.
Yah nimesema akitubuHiyo inawezekana tena unakuta yuko seat ya mbele kabisa, ila ndo mpaka afanye toba
Tayari mbona.Nachojiuliza mbona mambo bado ni kimya? Inamaana hafi?
Aki comment ni tag please. Comment yake 1 tu inaweza fukuza ke wa jf wote
Ulitaka niwatetee wauaji mkuu?Kwahiyo uzi woteee huu ni kutetea SINGO MAZA?
#YNWA
Ukisikia bwee ujue jiwe ulilorusha kuna jibwa limemkuta,endelea ku abort iko siku uta abort figo mimba pamoja na figo zoteKwa hiyo waliozaa wote hawajawahi abort?poor you.
Ukija kuuziwa mbwa mwitu utajua madhara ya kununua mbuzi kwenye guniaBora uuziwe mbuzi kwenye gunia, kuliko kuuziwa gunia bila mbuzi.
Kuna lingine unalolijua zaidi ya poor you?Poor you una muono hafifu jibwa mwenyewe na mamaako
Wauwaji kwa sababu wanatoa mimbaMbona hamueleweki wanaume nyie! Wenye watoto mnaita single moms na hawafai, wasio na watoto pia ni wauwaji dah. Kwani si kuna njia kibao za kuzuia ujauzito why waitwe wauaji sasa?
Sieleweki mimi tu wengine wanaeleweka ndio maana hawataki kabisa kusikia habari ya single mothers,Je unafikiri mimba hazitolewi kwasababu kuna njia kibao za kuzuia?Mbona hamueleweki wanaume nyie! Wenye watoto mnaita single moms na hawafai, wasio na watoto pia ni wauwaji dah. Kwani si kuna njia kibao za kuzuia ujauzito why waitwe wauaji sasa?
Sawa inawezekana zinatolewa ila kutokua na mtoto haimaanishi labda huyo mtu ametoa or huwa anatoa mimba kuna njia za kuzuia, pia kuwa na mtoto haimaanishi sana kwamba huyo mtu hakutoa mimba zingine before. Mi nadhani tusigeneralize hapo. Si kweli kwamba asiye na mtoto na si bikra basi ni muuaji🤔Sieleweki mimi tu wengine wanaeleweka ndio maana hawataki kabisa kusikia habari ya single mothers,Je unafikiri mimba hazitolewi kwasababu kuna njia kibao za kuzuia?