Hana bikra hana mtoto ,muuwaji huyo.

Hooo mimi siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa (single mother)sawa usioe ila hakikisha utakayemuoa ana bikra,kama hana bikra ujue alishatiwa mimba kumi kidogo akaziporomosha,umeoa jambazi muda wowote anaweza akakutoa roho kwa jambo dogo tu,kama kuna mtu anaona kuuwa ni jambo jepesi basi na hawa wanawake waliokwisha waua watoto wao wakiwa matumboni mwao,ni watu hatari kuliko corona ,hawachelewi kuuwa au kujinyonga.
Nawapenda sana single mothers,wana mioyo ya upendo na uvumilivu ,walijua wataitwa majina ya ajabu ajabu lakini hawakuwa tayari kuuwa kiumbe kisichokuwa na hatia,kama nilishawahi kuwasema vibaya popote nisameheni.
Kwahiyo uzi woteee huu ni kutetea SINGO MAZA?

#YNWA
 
vipi kuhusu wapiga nyeto!!?. wazee wa "raha jipe mwenyewe"...
watu wanaflash hundreds millions of their generations kweny vyoo daily...
 
Mbona hamueleweki wanaume nyie! Wenye watoto mnaita single moms na hawafai, wasio na watoto pia ni wauwaji dah. Kwani si kuna njia kibao za kuzuia ujauzito why waitwe wauaji sasa?
 
Mbona hamueleweki wanaume nyie! Wenye watoto mnaita single moms na hawafai, wasio na watoto pia ni wauwaji dah. Kwani si kuna njia kibao za kuzuia ujauzito why waitwe wauaji sasa?
Sieleweki mimi tu wengine wanaeleweka ndio maana hawataki kabisa kusikia habari ya single mothers,Je unafikiri mimba hazitolewi kwasababu kuna njia kibao za kuzuia?
 
Sieleweki mimi tu wengine wanaeleweka ndio maana hawataki kabisa kusikia habari ya single mothers,Je unafikiri mimba hazitolewi kwasababu kuna njia kibao za kuzuia?
Sawa inawezekana zinatolewa ila kutokua na mtoto haimaanishi labda huyo mtu ametoa or huwa anatoa mimba kuna njia za kuzuia, pia kuwa na mtoto haimaanishi sana kwamba huyo mtu hakutoa mimba zingine before. Mi nadhani tusigeneralize hapo. Si kweli kwamba asiye na mtoto na si bikra basi ni muuaji🤔
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom