Mungu Tusamehe Afrika
Senior Member
- Jan 18, 2022
- 139
- 204
Habari,
Hamza Rashid Abdala@ustadhi amekamatwa huko Sumbawanga kwa kosa la kulawiti vijana wa kiume zaidi ya 10 katika kitongoji cha Utengule Manispaa ya Sumbawanga.
Awali hamza alikuwa anakabiliwa na kesi Na.150/2020 baadaya kumbaka mwanafunzi huko Muze Sumbawanga Vijijini ambapo alitoroka akiwa nje kwa dhamana lakini Mahakama iliendelea na kesi hiyo hadi mwisho na mtuhumiwa huyo kuhukumiwa akiwa hayupo mahakamani.
Wakati huo huo anakabiliwa na kesi nyingine ya kulawiti huko Lindi ambapo pia alitoroka na kukimbilia huko Sumbawanga ambako aliendeleza tabia yake hiyo ya ufirauni chini ya kivuli cha mwalimu wa madrasa.
Kijana huyu ni hatari sana kwani hata alipodhamiwa na msamalia mwema na kumhifadhi shambani kwake yeye na binti mdogo sana aliyemzalisha huko kijiji cha Malonje aliweza kumwibia kila kitu huko shambani na kutoroka ambapo anakabiriwa na kesi ya wizi huo ambapo atafikishwa mahakamani yeye na huyo binti aliyemzalisha na kudai ni mke wake.
Nawasilisha.
View attachment 2271913
Hamza Rashid Abdala@ustadhi amekamatwa huko Sumbawanga kwa kosa la kulawiti vijana wa kiume zaidi ya 10 katika kitongoji cha Utengule Manispaa ya Sumbawanga.
Awali hamza alikuwa anakabiliwa na kesi Na.150/2020 baadaya kumbaka mwanafunzi huko Muze Sumbawanga Vijijini ambapo alitoroka akiwa nje kwa dhamana lakini Mahakama iliendelea na kesi hiyo hadi mwisho na mtuhumiwa huyo kuhukumiwa akiwa hayupo mahakamani.
Wakati huo huo anakabiliwa na kesi nyingine ya kulawiti huko Lindi ambapo pia alitoroka na kukimbilia huko Sumbawanga ambako aliendeleza tabia yake hiyo ya ufirauni chini ya kivuli cha mwalimu wa madrasa.
Kijana huyu ni hatari sana kwani hata alipodhamiwa na msamalia mwema na kumhifadhi shambani kwake yeye na binti mdogo sana aliyemzalisha huko kijiji cha Malonje aliweza kumwibia kila kitu huko shambani na kutoroka ambapo anakabiriwa na kesi ya wizi huo ambapo atafikishwa mahakamani yeye na huyo binti aliyemzalisha na kudai ni mke wake.
Nawasilisha.
View attachment 2271913