Yani hata kama walimbaka,wakamchomekea miti wakamsulubisha kwenye miba......bado haihalaliishi mauaji.Kesi aipeleke wapi wakati hata Rais ambaye anategemewa kulinda haki zetu, anawaonea watu anaopashwa kuwalinda... (Mbowe mfano mzuri), Kesi yake angelimpelekea nani?
Si rahisi kama unavyofikiria. Polisi, CCM na Serikali, hata wawadhulumu watu kiasi gani, walipizaji kisasi hawawezi kuwalenga raia, japo raia wanaweza kuuawa kwa bahati mbaya.Video ipo siku ya tukio anasema anampigania Allah na alitaja jina la Siro. Aidha umeamua tu kubisha ila video hata humu JF kuna uzi imewekwa.
Subirini siku wakiamua kuua yoyote Yule bila kujali kavaa Sare za jeshi au la ndio mtajenga sanamu vizuri na kushangilia.
Amekufa akipinga uonevu wa polisi kupora mali yake, akijua kuwa hata akienda mahakamani atapoteza wakati maana kote huko ni mjumuiko wa wanaopora haki.Ngoja nikuulize swali
Kwanini una sema Hamza kafa kishujaa?
Gaidi ni gaidi tu. Paka rangi zote gaidi ni gaidi. Hamza was a terrorist. More like Abu Hamza.Si rahisi kama unavyofikiria. Polisi, CCM na Serikali, hata wawadhulumu watu kiasi gani, walipizaji kisasi hawawezi kuwalenga raia, japo raia wanaweza kuuawa kwa bahati mbaya...
Mwenyewe hakutaja hio habari ya kuporwa Mali nyinyi mmeitoa wapi? Mwenyewe kasema anaua polisi kwa ajili ya Allah kupinga uonevu wanaofanyiwa waislamu. Sasa wewe hii ya kuporwa Mali umejitoa wapi? Wenzio wanasema video ya kutengenezwa.Amekufa akipinga uonevu wa polisi kupora mali yake, akijua kuwa hata akienda mahakamani atapoteza wakati maana kote huko ni mjumuiko wa wanaopora haki.
Nyie ndio mliohudhuria tamasha wakati tuna omboleza polisi walio uwawa na Hamza sheikh Mohamed na marehemu polisi wengine wakiwa bado wanazikwa.
Hiyo ya kudhulumiwa wewe umeisikia wapi? Kuna mahala hamza amesema amedhulumiwa?Swali la msingi ni je, polisi walimdhulumu. Kama walimdhulumu, polisi wana kesi ya kujibu.
Kwahiyo he was to forego his rights? Na Msumbiji, SA, Namibia, and all those countries that fought for their independence were not supposed to do that! Naanza kukushangaa! Ukishakuwa CCM, kuna tatizo sana katika kufikiri nadhani...Yani hata kama walimbaka,wakamchomekea miti wakamsulubisha kwenye miba......bado haihalaliishi mauaji.
Hamza oyeeeeee.... Shujaa halisi. Siyo mtu anakufa kwa corona eti wanalazimisha aitwe shujaa!
Hayo unayoyasema, hakuna ushahidi. Kwa nini polisi wahangaike kutengeneza video clip? Hii inaashiria kuna kitu polisi wanataka kuficha. Ile clip, kama wewe una ujuzi wa videoleap, utaona wazi kabisa kuwa video imetengenezwa.Mwenyewe hakutaja hio habari ya kuporwa Mali nyinyi mmeitoa wapi? Mwenyewe kasema anaua polisi kwa ajili ya Allah kupinga uonevu wanaofanyiwa waislamu. Sasa wewe hii ya kuporwa Mali umejitoa wapi? Wenzio wanasema video ya kutengenezwa.
Well saidHayo unayoyasema, hakuna ushahidi. Kwa nini polisi wahangaike kutengeneza video clip? Hii inaashiria kuna kitu polisi wanataka kuficha. Ile clip, kama wewe una ujuzi wa videoleap, utaona wazi kabisa kuwa video imetengenezwa.
Hili la polisi kumpora dhahabu yake, japo marehemu hakutamka, lakini ni tukio lililofanywa na polisi, na watu wamejaribu kuunganisha matukio, na kutafuta sababu yenye uwezekano mkubwa.
yan jamaa...yanamtoka kinoma yaani thread yake sijajua inalenga ninHii hoja ina maswali ya msingi sana Chifu, naomba wajinga wakifungua uzi wowote ule uwajibu kupitia huu ujumbe, labda utaweza kuedit tu hapo penye ukali wa neno "kuf!r.
Hamza anajinasibu kumpigania Allah, jamaa lilikua kichwa maji jamani
Haki ipi mkuu??Alale salama, alikuwa akipambania haki yake
Pole sana.Hayo unayoyasema, hakuna ushahidi. Kwa nini polisi wahangaike kutengeneza video clip? Hii inaashiria kuna kitu polisi wanataka kuficha. Ile clip, kama wewe una ujuzi wa videoleap, utaona wazi kabisa kuwa video imetengenezwa.
Hili la polisi kumpora dhahabu yake, japo marehemu hakutamka, lakini ni tukio lililofanywa na polisi, na watu wamejaribu kuunganisha matukio, na kutafuta sababu yenye uwezekano mkubwa.
Alisema kweli na video zipo. Abiria aliyekuepo kwenye daladala alirecord na anaonekana kabisa akisema. Hakusema KWAMBA kaibiwa, hakusemaSehemu gan kasema hayo? Ingekuw hivo si angeuwa hata raia?
Wew ndio kichwa maji tena maji ya betrii maana hujui nin unaandika, sometimes shut up your mouth sio lzma useme kilakitu.
Kumwita mtu gaidi kama siyo gaidi, hakumfanyi kuwa gaidi.Gaidi ni gaidi tu. Paka rangi zote gaidi ni gaidi. Hamza was a terrorist. More like Abu Hamza.