BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Nini kinasababisha kukosa hali ya kula chakula? Na nitawezaje kuwa na hamu ya kula?
Naona kula kama adhabu siku hizi na imeanza ghafla tu.
Asanteni kwa ushauri.
Naona kula kama adhabu siku hizi na imeanza ghafla tu.
Asanteni kwa ushauri.