Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
Hata umkojoze Mara mia saba, mwisho wa siku anataka kula vizuri, kulala vizuri, na kwenda outing kali.
Tafuta pesa mazee
Tafuta pesa mazee
Hata umkojoze Mara mia saba, mwisho wa siku anataka kula vizuri, kulala vizuri, na kwenda outing kali.
Tafuta pesa mazee
We utakua kiben ten sio buresikubaliani na hii mada,ukiona pesa zako zinatumika sana ujue huyo mwanamke hajakuelewa,kuna wanawake hawana shida na pesa,na wanajua kupenda,bado endelea kuizunguka dunia uendelee kufanya utafiti vizuri juu ya ukisemacho usipotoshe jamii hapa,wa kwako ndio mpenda pesa sababu hakuelewi/hakupendi..
Genta niliumwa kukukosaJe na kwa sisi ambao ' tunamkojoza ' vizuri na wala hatuombwi hizo Pesa badala yake Sisi ndiyo tunapewa una maoni gani nasi?
Genta niliumwa kukukosa
Yaan Genta jamani nilihisi tu niiaona nije harakaMimi ingepita hadi leo sijakuona nadhani Kilometa zangu nilizokabidhiwa na Maulana kutiririka na kuserereka nazo hapa duniani zingefikia Kikomo.
Yaan Genta jamani nilihisi tu niiaona nije haraka
bwege kabisaWe utakua kiben ten sio bure
UsijesererekaDada sijakuelewa ulichoandika. Unasema kwamba uliiona na ukaona uje tu haraka Kwangu au? Weka maelezo sawia basi.