mwambie hata mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu uchawi lakini upo
Siku ukijifungua kuku ndo utakuja kufuta huu uzi mwenyewe
Siku ukijifungua kuku ndo utakuja kufuta huu uzi mwenyewe
Au kuna wahuni wanaitwa Night runner3.bati kulia Lia inawezekana Ni upepo tu
Hivi hujishangai liuzi lote hilo hauna like hata moja alafu wanao coment wana likes kibao??Sijui Ni uwoga na hofu sijui Ni ujinga na kukosa maarifa sijui Ni kutomuamini MUNGU sijui kwa kweli shida Ni Nini hasa mpaka mtu anashidwa kujua kanuni zinazoongoza ulimwengu mpaka Sasa hivi..iko hivi sio uchawi tu hata shetani yenyewe hakuna hiko kitu isipokuwa Kuna UJINGA basi.ukitaka kuamini hakuna uchawi chukua Watu 10000 wakalishe chini waambie wakuelezee matatizo yao makubwa mawili yanayowasumbua,wote watakwambia Ni magonjwa na umaskini yaani hawana hela hakuna hata mmoja ambaye atakwambia Kuna mtu anamloga usiku pengine anamsumbua usiku au anamchezea hizo waga Ni stori tu za kijiweni..nakuhakikishia mpaka unakufa hutakuja kuona mtu anapotea,mtu anaruka na ungo n.k.....kila jambo Lina jibu lake tayari ukifa unapimwa Kama ulikufa kwa pressure tunakwambia kabisa kwa hiyo hizo stori za sijui kafa alikuwa mzima zinabakia mdomoni na masikioni kwa wajinga..
Kuna tofauti Kati ya unachokiona na unachokisikia
Yule Naibu waziri lazima kapigwa kipapai; yaani ameshindwa kusoma kabisa kiapo? Mtu mwenye Msc Finance anashindwa kusoma Kiapo cha kiswahili?? Kiswahili?? Hatari sana...Inaonekana kuna mtu wa Lindi anaitaka ile nafasi.... Nitamshauri aje kutembelea huku Pemba, wasije wakauchukua na Ubunge wake pia, Maana Unaibu waziri ameshaukosa sasa..Yule naibu waziri aliyeshindwa kuapa sio misumari kweli ile
Namba 3 hapo.Mkuu shukuru Mungu bado hujafanyiziwa na wachawi!
1.Kuna watu tumelimishwa mashamba na wengine kubebeshwa tofali usiku tanuli zima la tofali 20,000
2.Kuna watu mimba zinachomolewa kila ikifikisha miezi 6, wapo pia ambao kila akizaa mtoto anakufa!
3.Wapo watu kila anapolala usiku bati linaanza kupigwa na nyundo mithili ya fundi anayeezeka paa wakati wewe umelala ndani, alafu mbaya zaidi wakati hayo yanatokea kwako majurani zako wote kimya hakuna anayesikia kitu!
4.Wapo watu wanateseka na magonjwa ya kupewa kwa uchawi kama vile majipu na upele wa kuwasha.
Mkuu ogopa sana mchawi asikukanie kwa chuki za kibinadamu, ni kheri upate mkosi mwingine lakini sio ule wa kuandamwa na wacahwi!
Hearsay, Folklore and Fairytale tu hizo.Siku ukijifungua kuku ndo utakuja kufuta huu uzi mwenyewe
namba 1 hapo ni hizo ni stori tu, hakuna kitu kama hicho bali hizo ni Fairytale, Folklore na Hearsay tu.Mkuu shukuru Mungu bado hujafanyiziwa na wachawi!
1.Kuna watu tumelimishwa mashamba na wengine kubebeshwa tofali usiku tanuli zima la tofali 20,000
2.Kuna watu mimba zinachomolewa kila ikifikisha miezi 6, wapo pia ambao kila akizaa mtoto anakufa!
3.Wapo watu kila anapolala usiku bati linaanza kupigwa na nyundo mithili ya fundi anayeezeka paa wakati wewe umelala ndani, alafu mbaya zaidi wakati hayo yanatokea kwako majurani zako wote kimya hakuna anayesikia kitu!
4.Wapo watu wanateseka na magonjwa ya kupewa kwa uchawi kama vile majipu na upele wa kuwasha.
Mkuu ogopa sana mchawi asikukanie kwa chuki za kibinadamu, ni kheri upate mkosi mwingine lakini sio ule wa kuandamwa na wacahwi!
Dini ni imani. Na imani ni kuamini.Kwenye vitabu vya dini uchawi umetajwa. Wewe nan upinge?
Mkuu shukuru Mungu bado hujafanyiziwa na wachawi!
1.Kuna watu tumelimishwa mashamba na wengine kubebeshwa tofali usiku tanuli zima la tofali 20,000
2.Kuna watu mimba zinachomolewa kila ikifikisha miezi 6, wapo pia ambao kila akizaa mtoto anakufa!
3.Wapo watu kila anapolala usiku bati linaanza kupigwa na nyundo mithili ya fundi anayeezeka paa wakati wewe umelala ndani, alafu mbaya zaidi wakati hayo yanatokea kwako majurani zako wote kimya hakuna anayesikia kitu!
4.Wapo watu wanateseka na magonjwa ya kupewa kwa uchawi kama vile majipu na upele wa kuwasha.
Mkuu ogopa sana mchawi asikukanie kwa chuki za kibinadamu, ni kheri upate mkosi mwingine lakini sio ule wa kuandamwa na wacahwi!
Ngoja nitie timu hapaSijui Ni uwoga na hofu sijui Ni ujinga na kukosa maarifa sijui Ni kutomuamini MUNGU sijui kwa kweli shida Ni Nini hasa mpaka mtu anashidwa kujua kanuni zinazoongoza ulimwengu mpaka Sasa hivi.
Iko hivi sio uchawi tu hata shetani yenyewe hakuna hiko kitu isipokuwa Kuna UJINGA basi.ukitaka kuamini hakuna uchawi chukua Watu 10000 wakalishe chini waambie wakuelezee matatizo yao makubwa mawili yanayowasumbua,wote watakwambia Ni magonjwa na umaskini yaani hawana hela hakuna hata mmoja ambaye atakwambia Kuna mtu anamloga usiku pengine anamsumbua usiku au anamchezea hizo waga Ni stori tu za kijiweni.
Nakuhakikishia mpaka unakufa hutakuja kuona mtu anapotea,mtu anaruka na ungo n.k.....kila jambo Lina jibu lake tayari ukifa unapimwa Kama ulikufa kwa pressure tunakwambia kabisa kwa hiyo hizo stori za sijui kafa alikuwa mzima zinabakia mdomoni na masikioni kwa wajinga.
Kuna tofauti Kati ya unachokiona na unachokisikia
kama wewe ni mganga namba 1 kweli basi ifute account ya Maxence Melo humu JF.Nitafute mm Mnganga No 1 watakuheshimu
Aisee ngoja tuone hapokama wewe ni mganga namba 1 kweli basi ifute account ya Maxence Melo humu JF.
Mwambie huyo, au anafikiria wote walioa hao wanawake waliwapata hivi hiviMkuu shukuru Mungu bado hujafanyiziwa na wachawi!
1.Kuna watu tumelimishwa mashamba na wengine kubebeshwa tofali usiku tanuli zima la tofali 20,000
2.Kuna watu mimba zinachomolewa kila ikifikisha miezi 6, wapo pia ambao kila akizaa mtoto anakufa!
3.Wapo watu kila anapolala usiku bati linaanza kupigwa na nyundo mithili ya fundi anayeezeka paa wakati wewe umelala ndani, alafu mbaya zaidi wakati hayo yanatokea kwako majurani zako wote kimya hakuna anayesikia kitu!
4.Wapo watu wanateseka na magonjwa ya kupewa kwa uchawi kama vile majipu na upele wa kuwasha.
Mkuu ogopa sana mchawi asikukanie kwa chuki za kibinadamu, ni kheri upate mkosi mwingine lakini sio ule wa kuandamwa na wacahwi!
Kabisa mkuuwanasema hawamini uchawi ili tuje tutoe ushuhuda, ila wanadai mungu yupo.. sasa huo si ukuda/
kuwa elimisha ni kujivuruga kichwani, maana wamefungwa akili na shetani/
Sijui Ni uwoga na hofu sijui Ni ujinga na kukosa maarifa sijui Ni kutomuamini MUNGU sijui kwa kweli shida Ni Nini hasa mpaka mtu anashidwa kujua kanuni zinazoongoza ulimwengu mpaka Sasa hivi.
Iko hivi sio uchawi tu hata shetani yenyewe hakuna hiko kitu isipokuwa Kuna UJINGA basi.ukitaka kuamini hakuna uchawi chukua Watu 10000 wakalishe chini waambie wakuelezee matatizo yao makubwa mawili yanayowasumbua,wote watakwambia Ni magonjwa na umaskini yaani hawana hela hakuna hata mmoja ambaye atakwambia Kuna mtu anamloga usiku pengine anamsumbua usiku au anamchezea hizo waga Ni stori tu za kijiweni.
Nakuhakikishia mpaka unakufa hutakuja kuona mtu anapotea,mtu anaruka na ungo n.k.....kila jambo Lina jibu lake tayari ukifa unapimwa Kama ulikufa kwa pressure tunakwambia kabisa kwa hiyo hizo stori za sijui kafa alikuwa mzima zinabakia mdomoni na masikioni kwa wajinga.
Kuna tofauti Kati ya unachokiona na unachokisikia