Inakera sana kwa kweli. Wengi wao kichwani hamna kitu form four failure ustaarabu kwao ni sifuri yaaniYaani hii tabia yao sijui hutokana na nini mtu anaachia stop engine afu paaaaah mlio huko labda road unatembea au uko huna hili wala lile boda inapita anashutua.
Wengine wana presha na wengine umri umeenda. Vijana acheni huu utoto.
Yaani hii tabia yao sijui hutokana na nini mtu anaachia stop engine afu paaaaah mlio huko labda road unatembea au uko huna hili wala lile boda inapita anashutua.
Wengine wana presha na wengine umri umeenda. Vijana acheni huu utoto.
Mods watabadili mkuu ni ishu ya lugha
Pole mkuu ndiyo akili zao zimefika mwisho ipo haja ya by laws kufuatilia hili.Mkuu yaani kama umeniona mimi huku nilivoshtuka,nilikua zangu natembea alikotokea sijui hata akatoa huo mlio dah, baadhi ya bodaboda hawa washenzi sana, moyo bado unaenda mbio hapa
Kweli na ni kama wanaenjoy tunavoshtuka maana huwa wakisogea mbele wakiona group la watu anapiga tena huo mlio. Wafatiliwe tuPole mkuu ndiyo akili zao zimefika mwisho ipo haja ya by laws kufuatilia hili.
Michezo ya Chugga hii, wajinga sana na kuna baadhi ya vijiwe vya bodaboda nashukuru huwa hawakubali kuwa na member mwenye pikipiki iliyotobolewa exsorsYaani hii tabia yao sijui hutokana na nini mtu anaachia stop engine afu paaaaah mlio huko labda road unatembea au uko huna hili wala lile boda inapita anashutua.
Wengine wana presha na wengine umri umeenda. Vijana acheni huu utoto.
Kwa kweli wamekushutua....Yaani hii tabia yao sijui hutokana na nini mtu anaachia stop engine afu paaaaah mlio huko labda road unatembea au uko huna hili wala lile boda inapita anashutua.
Wengine wana presha na wengine umri umeenda. Vijana acheni huu utoto.