Hamjambo!!

yaani upo chumbani ndio unabisha hodi......mmmh....we ingia tu
 
Mrembo nivumilie na unisamehe nitakuteuwa kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke kwenye serekali yangu!!!!promise believe me
 
@reala2m, Muheshimiwa usihofu......nikianza to campaing ....hakikisha CV yako ipo mezani kwangu....sawa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom