msomi_wa_zamani
Member
- Nov 27, 2010
- 16
- 1
Cv:
Jina msomi wazama
umri:nimezaliwa 1942,tabora
1960-1962:cheti cha kilimo nyegezi mwanza
1957-1960:middle school sikonge tabora
1953-1957:elimu ya msingi
uzoefu wa kazi/uongoza
2005 hadi leo:mkulima wa fegi,mshauri binafsi kilimo
,msikiliza redio ,mhudhuria misiba na harusi mzuri,kutembelea jf
2000-2005:mwenyekiti serikali ya kijiji
1995-2000:mwenyekiti chama cha msingi kijijini kwangu
1996-1999:afisa ugani dimon tabacco
1972-1996:afisa ugavi wizara ya kilimo na mifungo(nimefanya kazi kama bwana shamba vijiji mbalimbali
mafanikio
1958:nimekuwa kiranja na mtunza stoo wa shule(nikiwaongoza waheshimiwa sitta na kapuya)
Jina msomi wazama
umri:nimezaliwa 1942,tabora
1960-1962:cheti cha kilimo nyegezi mwanza
1957-1960:middle school sikonge tabora
1953-1957:elimu ya msingi
uzoefu wa kazi/uongoza
2005 hadi leo:mkulima wa fegi,mshauri binafsi kilimo
,msikiliza redio ,mhudhuria misiba na harusi mzuri,kutembelea jf
2000-2005:mwenyekiti serikali ya kijiji
1995-2000:mwenyekiti chama cha msingi kijijini kwangu
1996-1999:afisa ugani dimon tabacco
1972-1996:afisa ugavi wizara ya kilimo na mifungo(nimefanya kazi kama bwana shamba vijiji mbalimbali
mafanikio
1958:nimekuwa kiranja na mtunza stoo wa shule(nikiwaongoza waheshimiwa sitta na kapuya)