Kuuza papa uongo Milly mwenyewe anaotea tuDai yupo dubai. Na hamisa alikua dubai
(Mmh najaribu kuwa nice kwa tununu maana habari za kunyampia nyampia zinasema alienda kuuza papa kwa don flan hivi)
Mbona wengi mnachezewa na kuzekea nyumbaniAnafurahia kuchezewa kweli inahitajika akili ya ziada kujitambua na kutambua dhaman yako
Kuuza papa uongo Milly mwenyewe anaotea tu
mondi ni hamisa ni washenzi sana tuu sisi mashabiki maandazi kazi tunayo
Mbona wengi mnachezewa na kuzekea nyumbani
kwani hii picha inaonyesha wako kitandani?Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa ,yaani licha ya kusuluhisha yaliyotokea kati yake na Zari kuhusu kumzalisha Hamisa Mobeto na hatimaye kuomba msamaha na kusamehewa na mwanadada Zarina Hassan ,lakini bado Diamond Platnumz ameonekana kurudia kosa lile lile kwa kulala tena na Hamisa Mobeto
Sasa sielewi lengo la Diamond kumfanyia hivi Zari ni nini?
Yaani hapa hata lile sakata la kumpachika mimba Tunda halijapoa Diamond ameanza kuyaibua mengine.
huyu mrembo ndiye aliyevujisha siri hii sijui naye lengo lake lilikuwa kumrusha roho Bi Tukinao .
Anafurahia kuchezewa kweli inahitajika akili ya ziada kujitambua na kutambua dhaman yako
nilikuwa mmoja kati ya waliokuwa wana scream dnt forgive him, i wish angetusikilizaSio kwa milly pekee wapo wambea wengine nimesoma huko
Ila mond kumlipia hamisa ndege kwenda na kurudi bila kusain dili lolote ngumu sana. Kama wana mahusiano hamisa atateseka sana,zari anavumilia mengi.
Inasikitisha sana anaonyesha dunia nikiasi gan asivyo na stahaNa sifa za mitandaon kuitwa kiboko ya fulan atamuachia nani. Wanawake sie akili zetu uwiii sijui nani alitulegezea nati za ubongo
Walikua pamoja acha picha iliyovuja kuna clip amesnap misa dai anaongea anamuita sallaam sk daahSio kwa milly pekee wapo wambea wengine nimesoma huko
Ila mond kumlipia hamisa ndege kwenda na kurudi bila kusain dili lolote ngumu sana. Kama wana mahusiano hamisa atateseka sana,zari anavumilia mengi.
nilikuwa mmoja kati ya waliokuwa wana scream dnt forgive him, i wish angetusikiliza
Diamond hamheshimu Zari kabisa, mark my word! Yaani ni ile " akufukuzae hakwambii toka" yaan Domo kamchoka tukinao ni ile tu basiSio kwa milly pekee wapo wambea wengine nimesoma huko
Ila mond kumlipia hamisa ndege kwenda na kurudi bila kusain dili lolote ngumu sana. Kama wana mahusiano hamisa atateseka sana,zari anavumilia mengi.