Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
😬😬😬😬😬Huyu mzee na waziri wa michezo wanataka kutuharibia Simba yetu.Hiyo njama haitawekana kabisa
Kweli tukizeeka huwa tunarudi utotoni
Lengo ni " KUPIGA MSUMALI WA MOTO "
Sasa nchi ikitikisika si majengo mabovu bovu yataporomoka?
Tupo pamoja nawe mzee kilo wağonge misumari ya kutosha hao mbumbumbu
Hatariiii !!hivi Mo kawakosea nini haswa wakolomije hadi kumfanyia figisu zote hizi?
Mtu mwenyewe wa kutikisa inchi ni nani?Sasa nchi ikitikisika si majengo mabovu bovu yataporomoka?
Mo asiangalie sheria bali asome upepo. Kama ni sheria hata Manji angekuwa bado yupo Yanga. Mwakyembe hakutoa mawazo yake ila alitoa mwongozo kutoka kwenye mhimili uliojichimbia zaidi. Mo get out of site.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂eti hon hamis kilomoni