Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,160
- 6,269
Huyo kilomoni kwanza ameshatimuliwa katika bodi ya wadhamini. Anazunguka kwenye vyombo vya habari oh sijui ana hati za Sunderland tangu wakiwa wanalipa ada sijui ya sh10. Kilomoni naona ameanza chokochoko kama zile za Akilimali enzi za uongozi wa Manji Yanga. Viongozi wa Simba wampuuze huyu mchumiatumbo. Timu kwa sasa inaongozwa kama kampuni hakuna kujichotea na kugawana hovyo tena.