Ni uhaini kudhani tukiwaambia ma-capitalist kwamba sisi ni masikini watatuhurumia..... Tujifunze kunegotiate kwa hoja! Hii kujifanya haya mambo hatukuyaona ni kuendekeza upuuzi (hali ya kupuuzia maswala ya msingi).
Kiongozi mmoja (waziri wa madini) anashiriki kuunda sera ya madini, kiongozi huyo (waziri wa mambo ya nje) anatumika kuzunguka dunia nzima kualika kina Resolute, kisha kiongozi huyo anakuwa rais na kushangaa kwa nini sisi ni masikini na watanzania wanamsifia kuwa ni msikivu.....kama sio upuuzi ni nini??
After all ukiwa masikini huhitaji mapesa mengi hivyo mrahaba wa 3% unatutosha......hilo ndio fungu letu!!!!
Kilio cha kutaka huruma ni ishara ya UDHAIFU
mkuu hapo kwenye kizungu cha kuchonga,umenena.yaani utazania sio daktari graduate jamani..aisee huyu jamaa nae sijui vipi..sijui kakurupuka..watu kama hawa wanatakiwa waalikwe na adam sumbeye kwenye kipindi chake cha this week in perspective tusikie wanavyo brag.
Ndg zangu,
Nimeibuka kuwaambia tu kuwa haya mambo hamyajui sana kama mnavyofikiria, na pili hata ukinilaumu mimi leo, unanionea tu. Maana wakati mkataba unasainiwa mimi sikuwepo, nilikuwa nasoma sekondari wakati huo! Na hata hivyo mnailaumu CCM kwani ndiyo inasaini mikataba hii mibovu? Hao wanaofanya hivyo ni watanzania wenzenu watu wa madili hao na wengine wamo kwenye hivyo vyama vyenu mnavyovishabikia! Niwaambieni kuwa pia tuna taarifa za mambo ya hovyo ya kifisadi yanayofanywa na hao viongozi wa vyama vingine mnaowaamini sana nyie...mengi ni mambo ya aibu kwa watu kama mimi siwezi kuyataja hadharani kwa kuwachungia heshima wahusika...pia kwa kuwa siamini sana katika siasa za majitaka.
Niseme tu kuwa tuna tatizo kubwa zaidi kama Taifa na wala siyo chama kinachotawala...ni mtu mwenye miopic vision tu anayeona kuishia urefu wa pua yake ndiye anayeweza kushabikia kuwa eti kila kitu ni CCM...tuna tatizo la uvivu, uzembe, utovu wa nidhamu, na kuendekeza umaskini, majungu, wivu wa kijinga na kutowajibika...
Ndg zangu,
Nimeibuka kuwaambia tu kuwa haya mambo hamyajui sana kama mnavyofikiria, na pili hata ukinilaumu mimi leo, unanionea tu.
..ni mtu mwenye miopic vision tu anayeona kuishia urefu wa pua yake ndiye anayeweza kushabikia kuwa eti kila kitu ni CCM...tuna tatizo la uvivu, uzembe, utovu wa nidhamu, na kuendekeza umaskini, majungu, wivu wa kijinga na kutowajibika...
Ukweli mchungu ni kwamba huwezi kuitenganisha CCM na mazuri au mabaya kiuongozi katika nchi yetu..tunapomkumbuka baba wa taifa tunaikumbuka CCM ya wakati wake. CCM ndio wenye serikali inayokusanya kodi na kusaini mikataba kwa niaba yetu...sasa nani abebe lawama?? Ukiukubali ukweli huu itakusaidia sana kiuongozi.ukinilaumu mimi leo, unanionea tu. Maana wakati mkataba unasainiwa mimi sikuwepo, nilikuwa nasoma sekondari wakati huo! Na hata hivyo mnailaumu CCM kwani ndiyo inasaini mikataba hii mibovu?
Kaka wewe ni mkuu wa familia yako, na ukweli ni kwamba familia yako itakuwa bora kwa kiwango kilekile cha ubora ulichonacho wewe...hakuna miujiza.Niseme tu kuwa tuna tatizo kubwa zaidi kama Taifa na wala siyo chama kinachotawala...ni mtu mwenye miopic vision tu anayeona kuishia urefu wa pua yake ndiye anayeweza kushabikia kuwa eti kila kitu ni CCM...tuna tatizo la uvivu, uzembe, utovu wa nidhamu, na kuendekeza umaskini, majungu, wivu wa kijinga na kutowajibika
Niwaambieni kuwa pia tuna taarifa za mambo ya hovyo ya kifisadi yanayofanywa na hao viongozi wa vyama vingine mnaowaamini sana nyie...mengi ni mambo ya aibu
Niseme tu kuwa tuna tatizo kubwa zaidi kama Taifa na wala siyo chama kinachotawala
atakujibu kwamba amesomea Sayansi hajasoma linguistic.Daktari,una wazo zuri,lakini umechemka sana tu.,msomi kama wewe sikutegemea grama yakn kuwa mbovu kiasi hichi.alafu hapo umemdhalilisha hadi rais na taifa zima,kwamba wamekuwa weak sana kuingia mikataba mibovu..alafu sijui we are all aware our women and men sijui bla bla nyiingi za nini daktari? Ebu jaribu kucheki na spellings zako pia mkuu
Umechangia vizuri sana, hongera na nimekusoma. Tungekuwa tuna umakini kama wako, kwa hakika tungekuwa na mijadala mizuri sana na nina hakika tungekuwa na watu wengi zaidi wakijitokeza na kuleta mada zenye faida katika ujenzi wa Taifa...Kaka umejibu kisiasa sana! Kama sisi hatujui ninyi mnaojua mmetusaidiaje??
Ukweli mchungu ni kwamba huwezi kuitenganisha CCM na mazuri au mabaya kiuongozi katika nchi yetu..tunapomkumbuka baba wa taifa tunaikumbuka CCM ya wakati wake. CCM ndio wenye serikali inayokusanya kodi na kusaini mikataba kwa niaba yetu...sasa nani abebe lawama?? Ukiukubali ukweli huu itakusaidia sana kiuongozi.
Kusema kwamba wakati mikataba inasainiwa hukuwepo ni kuikana dhana ya taasisi. Unanikumbusha kanusho moja la ikulu kwamba 'jambo hili lilifanyika wakati Kikwete hajawa rais' kana kwamba urais uliondoka na Ben Mkapa au Mzee Mwinyi.
Kwa mfano nikubaliane na wewe kwamba hukuwepo, tuseme nini kwa waliokuwepo?? mfano mzuri ni mwenyekiti wako aliyekuwepo wizara ya madini, akazunguka dunia kualika wawekezaji kisha akawa rais..Kisha mwenyekiti wako naye anashtushwa na umasikini wa wanaNsega kama wewe ambaye hukuwepo unavyostuka.
Kaka wewe ni mkuu wa familia yako, na ukweli ni kwamba familia yako itakuwa bora kwa kiwango kilekile cha ubora ulichonacho wewe...hakuna miujiza.
Sisi ni wavivu na wazembe sababu hata baba ni mvivu...watovu wa nidhamu coz hata baba anamdhihaki mama mbele yetu.....hatuwajibiki kama baba asivyowajibika kwa matendo yake mwenyewe.....tunaendekeza umaskini maana hata baba anaamini umaskini wetu umeletwa na wageni, akienda kuomba ng'ambo na sisi tunaenda kuomba kwa jirani!!!
Kaka endapo huamini jaribu kufanya hayo uone kama watoto wako watafanya tofauti
Not from you....sasa kama wao wanafanya ufisadi inaondoaje wajibu wako binafsi??? Onyesha tofauti yako na wao nasi tutakuwa nyuma yako.
"Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi" (Dr. H Kigwangalla, 2013) ila tunahitaji uongozi wenye dhamira ya kweli kuleta mabadiliko.
atakujibu kwamba amesomea Sayansi hajasoma linguistic.
Hivi Kigwangalla anaelewa maana ya neno "statesman"?
Naanza kusoma tu sijamaliza intro nataka kutapika.
Not sure I can stomach the full length of this imbecilic ignominy.
Niseme tu kuwa tuna tatizo kubwa zaidi kama Taifa na wala siyo chama kinachotawala...ni mtu mwenye miopic vision tu anayeona kuishia urefu wa pua yake ndiye anayeweza kushabikia kuwa eti kila kitu ni CCM...tuna tatizo la uvivu, uzembe, utovu wa nidhamu, na kuendekeza umaskini, majungu, wivu wa kijinga na kutowajibika...
Tuchambue hoja sio kuponda kiingereza chake kwani hamjaelewa alichokiandika?acheni ujinga cha msingi ameandika na ameeleweka tujadili hoja kwa kiingereza kitu gani hata kama angepiga broken mbovu kuliko hiyo kama umemuelewa jadili hoja acheni upuuzi huu pengine angeandika rais wa china angekosea zaidi!
Hii ni Speech au Letter? Ni malalamiko au maelezo? Ni ya kuomba kazi au Kuomba msaada? Aliyeandika ni google translator au Dr. Kingwangala au Dr Kingwangala? if so inabidi nianze kusoma kingoswe kabla sijaanza kusomea degree ya kwanza......No wonder aliachiwa kiti na Kaka mkuu...
Ndg zangu,
Nimeibuka kuwaambia tu kuwa haya mambo hamyajui sana kama mnavyofikiria, na pili hata ukinilaumu mimi leo, unanionea tu. Maana wakati mkataba unasainiwa mimi sikuwepo, nilikuwa nasoma sekondari wakati huo! Na hata hivyo mnailaumu CCM kwani ndiyo inasaini mikataba hii mibovu? Hao wanaofanya hivyo ni watanzania wenzenu watu wa madili hao na wengine wamo kwenye hivyo vyama vyenu mnavyovishabikia! Niwaambieni kuwa pia tuna taarifa za mambo ya hovyo ya kifisadi yanayofanywa na hao viongozi wa vyama vingine mnaowaamini sana nyie...mengi ni mambo ya aibu kwa watu kama mimi siwezi kuyataja hadharani kwa kuwachungia heshima wahusika...pia kwa kuwa siamini sana katika siasa za majitaka.
Niseme tu kuwa tuna tatizo kubwa zaidi kama Taifa na wala siyo chama kinachotawala...ni mtu mwenye miopic vision tu anayeona kuishia urefu wa pua yake ndiye anayeweza kushabikia kuwa eti kila kitu ni CCM...tuna tatizo la uvivu, uzembe, utovu wa nidhamu, na kuendekeza umaskini, majungu, wivu wa kijinga na kutowajibika...