Le Grand Alexei
Senior Member
- Nov 9, 2011
- 116
- 83
tumetoka kushuhudia picha ya Januari Makamba akiwa ndani ya Bajaji, leo sasa kuna kali ya mwaka Mbunge wa Nzega ame-post kwenye ukurasa wake wa FB picha akivinjari mitaa ya A-town kusaka ATM kwa kutumia usafiri wa Pikipiki, pamoja na kutaka kujionyesha wako karibu na maisha ya kila siku ya wananchi, nadhani Mbunge huyu amehatarisha maisha yake kwa kiasi kikubwa kwa kutokuvaa protective gears, hebu cheki mwenyewe hapa chini: