Hamisha pesa directly toka payoneer mastercard kuja airtel money haraka

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,043
Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida.

Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel.

Nimejaribu baada ya kupokea msg nikahamisha tshs 10000 airtel wameniambia gharama ni tshs 400 na kwenye payoneer imepungua usd 4.64 ikiwa ina maana inajumuisha gharama ya tshs400 humo.

So kwa wale ambao wanahamisha pesa ndogo ndogo ambayo kuwithdraw atm ilikuwa haiwezekani sasa inawezekana maana payoneer haijalishi unatoa bei gani wanakata between $7-13.

Pia nimejaribu kwa lak 5 nmeona gharama ni tshs 25000 wakati kwenye atm za dar nyingi zinatoa 400000 so itakulazimu uwithdraw mara mbili ambapo gharama itakuwa $13+8=21 ambapo bado ni ghali.

Sema nimeona no cheap kwa pesa ndogo maana ukitoa ikaja airtel kwa pesa nyingi ukienda tena kwa wakala utakuta unarudi kule kule kwenye gharama.
 
Vp utaratibu wa kupata payoneer mastercard?

Dola 10000 zinaingia Airtelmoney?
 
Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida.

Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel.

Nimejaribu baada ya kupokea msg nikahamisha dollar 10000 airtel wameniambia gharama ni tshs 400 na kwenye payoneer imepungua usd 4.64 ikiwa ina maana inajumuisha gharama ya tshs400 humo.

So kwa wale ambao wanahamisha pesa ndogo ndogo ambayo kuwithdraw atm ilikuwa haiwezekani sasa inawezekana maana payoneer haijalishi unatoa bei gani wanakata between $7-13.

Pia nimejaribu kwa lak 5 nmeona gharama ni tshs 25000 wakati kwenye atm za dar nyingi zinatoa 400000 so itakulazimu uwithdraw mara mbili ambapo gharama itakuwa $13+8=21 ambapo bado ni ghali.

Sema nimeona no cheap kwa pesa ndogo maana ukitoa ikaja airtel kwa pesa nyingi ukienda tena kwa wakala utakuta unarudi kule kule kwenye gharama.

Isn't it cheaper kutumia direct withdraw kwenda bank? Binafsi sijawahi kutumia payoneer card, natafuta mtu aliyeitumia kwa muda mrefu anipe uzoefu wake ila sijampata. Sioni kama card hii ni bora kuliko kufanya direct withdraw bank nikiangalia makato ya card. Labda kuna kitu sikioni
 
Isn't it cheaper kutumia direct withdraw kwenda bank? Binafsi sijawahi kutumia payoneer card, natafuta mtu aliyeitumia kwa muda mrefu anipe uzoefu wake ila sijampata. Sioni kama card hii ni bora kuliko kufanya direct withdraw bank nikiangalia makato ya card. Labda kuna kitu sikioni
Mimi naitumia ni ghali sana kutumia card kuliko direct withdraw.
direct withdraw ni cheaper mkuu, payoneer ni ghali na unaenda draw atm unaambiwa wanakata 13000 ya ikijumuisha gharama zote ila unakuta wamekata $13 per single withdraw
 
Mimi naitumia sina ni ghali sana kutumia card kuliko direct withdraw.
No direct withdraw ni cheaper mkuu, payoneer ni ghali na unaenda draw atm unaambiwa wanakata 13000 ya ikijumuisha gharama zote ila unakuta wamekata $13 per single withdraw
Alafu bado iko limited to laki 4 kwa atm zetu. Ukitoa mara mbili inamaana wanakata double. Ghali sana, wacha niendelee kutumia hii hii withdraw tu ya bank. Japo kila wakilala wakiamka wanaweka makato. Na kusubiri hela ifike pia huwa inakera ila inavumilika
 
Alafu bado iko limited to laki 4 kwa atm zetu. Ukitoa mara mbili inamaana wanakata double. Ghali sana, wacha niendelee kutumia hii hii withdraw tu ya bank. Japo kila wakilala wakiamka wanaweka makato. Na kusubiri hela ifike pia huwa inakera ila inavumilika
Hahaha sasa mm nmependa airtel coz nikiwa na emergence ya ela ndogo kama 30000 nafanya kuhamisha fasta
 
Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida.

Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel.

Nimejaribu baada ya kupokea msg nikahamisha tshs 10000 airtel wameniambia gharama ni tshs 400 na kwenye payoneer imepungua usd 4.64 ikiwa ina maana inajumuisha gharama ya tshs400 humo.

So kwa wale ambao wanahamisha pesa ndogo ndogo ambayo kuwithdraw atm ilikuwa haiwezekani sasa inawezekana maana payoneer haijalishi unatoa bei gani wanakata between $7-13.

Pia nimejaribu kwa lak 5 nmeona gharama ni tshs 25000 wakati kwenye atm za dar nyingi zinatoa 400000 so itakulazimu uwithdraw mara mbili ambapo gharama itakuwa $13+8=21 ambapo bado ni ghali.

Sema nimeona no cheap kwa pesa ndogo maana ukitoa ikaja airtel kwa pesa nyingi ukienda tena kwa wakala utakuta unarudi kule kule kwenye gharama.
Mkuu unapiga menu ya airtel ipi kutoa pesa keenye mastercard au visa?
 
Alafu bado iko limited to laki 4 kwa atm zetu. Ukitoa mara mbili inamaana wanakata double. Ghali sana, wacha niendelee kutumia hii hii withdraw tu ya bank. Japo kila wakilala wakiamka wanaweka makato. Na kusubiri hela ifike pia huwa inakera ila inavumilika
Nenda ATM za KCB, kiwango cha chini ni 900,000 na wanamakato madogo sana.
 
Kwa wakati mmoja. Ukiingia kwenye ATM yao utaona. Ila epuka ile ya Samora mara kwa mara inakuwa na shida
Interesting. Sikujua kama kuna ATM inaweza kutoa zaidi ya laki 4 huku kwa mkupuo. Ni atm zote au selective? Let's say kama iliyopo shoppers mikocheni (Nahisi nimewahi kuona kcb hapo sina uhakika). Au mlimani?
 
Back
Top Bottom