Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,554
- 12,674
Kwani jf Sio chombo cha habari?Basi kama ni hivyo hata wewe hii thd yako ni hela usingeiweka hapa JF,
Ungetafuta chombo cha habari ukapiga hela.
Kwani jf Sio chombo cha habari?Basi kama ni hivyo hata wewe hii thd yako ni hela usingeiweka hapa JF,
Ungetafuta chombo cha habari ukapiga hela.
Kwani waandishi wa habari sio wafanyakazi wa vyombo vya habari?Kwani jf Sio chombo cha habari?
Wapo wengi sana!kuna watu wana chuki mbaya sana!ukiwa chini wanafurahi ukiww juu wanachukia mnoo!Hivi kuna mtu anaweza kupeleka image mbaya ya mtu mwingine ili aharibu? Anakua anafaidika na nini akifanya hivo
Ametoka kuuza mbususu dubaiHamisa, ujio wako kutoka Dubai ni Habari kubwa. Ungetengeneza hela kubwa kama ungejizuia kuongea na na waandishi wa Habari. Ukatafuta chombo cha Habari ambacho kingekulipa na kujitengenezea hela za kutosha.
Harmonise pia alifanya kosa hilo hilo. Habari zake alipotoka Marekani ilikuwa ni hela nzuri.
Nawashauri masupa star uzeni habari zenu. Habari ni pesa.
Diamond akienda studio za wasafi kuingea ninhabari. Anauza matangazo mengi siku hiyo.
Na pia kama iyo miguu ni yako, basi umejaaliwa, inafaa sana kwa kuiweka begani.Hiyo sio shida sana! Kosa ni pale hamisa kama alienda kwa huyu tajiri siku ambazo sio za kushika mimba.hii nafasi ataijutia sana.
Kwa nini ataijutia? Hamisa ni mzuri wa shape ila sura hana hata mimi namzidi.so saa yoyote ataachwa lakini kama kaacha mbegu chilid support lazima ije tu.
Hamisa nakuita mara tatu hope hujapoteza hii chance.
Nimalize kwa kusema hivi,ni bora kufa na maji ya ziwa Victoria kuliko ndoo moja ya maji.
Angefanya exclusive interview na kulipwa. Angepata ya kutumia ya mwezi.Hamisa, ujio wako kutoka Dubai ni Habari kubwa. Ungetengeneza hela kubwa kama ungejizuia kuongea na na waandishi wa Habari. Ukatafuta chombo cha Habari ambacho kingekulipa na kujitengenezea hela za kutosha.
Harmonise pia alifanya kosa hilo hilo. Habari zake alipotoka Marekani ilikuwa ni hela nzuri.
Nawashauri masupa star uzeni habari zenu. Habari ni pesa.
Diamond akienda studio za wasafi kuingea ninhabari. Anauza matangazo mengi siku hiyo.
Hakuna hata mmoja ajuwaye dhahiri shairi Amisa amekwenda Dubai kufanya nini?Malaya anafunguliwa uzi ati na waandishi wa habari wanamfuata airport kumuhoji kweli? Wanahoji Nini wakijua kabisa kilichompeleka kule
Ntakua MC wao,Aliposema Rick Ross is now a family, tutegemee ndoa aisee.
mbavu zangu mie uwiiiiih.Kuachwa si leo, mchizi anampost Hamisa kama hana akili nzuri. Wabongo wanapeleka picha za Hamisa akiwa mwanafunzi kumuaminisha Rick Hamisa anatumia mkorogo. Basi hata wangekodi Mkenya kunyosha English, Ross anasoma English za St Kayumba. Wabongo kwa wivu tumelaaniwa.
kwani limbwata ajabu, zari ana haha hko insta.Walivujisha video za Hamisa akiwa kwa mganga ili kumdhalilisha, Zari alimuita Hamisa ‘low life’.
Jamani muacheni Mungu aitwe Mungu.
Means huyu Ross condoms zinambana?tusiendekeze sex za kizembeHiyo sio shida sana! Kosa ni pale hamisa kama alienda kwa huyu tajiri siku ambazo sio za kushika mimba.hii nafasi ataijutia sana.
Kwa nini ataijutia? Hamisa ni mzuri wa shape ila sura hana hata mimi namzidi.so saa yoyote ataachwa lakini kama kaacha mbegu chilid support lazima ije tu.
Hamisa nakuita mara tatu hope hujapoteza hii chance.
Nimalize kwa kusema hivi,ni bora kufa na maji ya ziwa Victoria kuliko ndoo moja ya maji.
😂😂😂😂😂Na pia kama iyo miguu ni yako, basi umejaaliwa, inafaa sana kwa kuiweka begani.
nipm naona kama tunaendanaHakuna mtu ambae hana past hata huyo RR ama past zake akiwa kibongeee mbaya lakini kajiweka sawa na kawa kawaida.
Nyie wanaume mkae mkijua ndo mnatufanya tubadilike.diamondi alimuonesha dharau sana hamisa, mama yake diamond akamuona hamisa kama shetani, sasa mtoto wa kike kapanda dau.
Sio kwamba nashabekia haya mambo ila najua hamisa amesimangwa sana.
Mimi ni mtu wa kawaida sana sina makuu yeyote ila nikiamua kuwa kimahusiano na mtu basi jua huyo mtu anajiheshimu na sio mtu wa kuchukulia poa.yaani lazima nihakikishe hata tukiachana ila moyoni sina majuto. Siwezi date mtu ambae nikitoka kwake anakuja kupost hapa.yaani sina status yeyote ila nina ka class kangu kadogo ambako mtu hawezi kukaona kuirahisi. Sema watu nadatigi nao ni ngumu kuwapata naweza maliza miaka 2 niko single😂😂😂 nikimpata basi moyo unasuuzika. Yaani sijuti.
Itoshe kusema kuwa status unajipa mwenyewe.
Hamisa al the best maisha yenyewe haya haya. Kuwa na grade
Hahahha somehow it makes senseBasi kama ni hivyo hata wewe hii thd yako ni hela usingeiweka hapa JF,
Ungetafuta chombo cha habari ukapiga hela.